sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,028
Hbarini wafanyabiashara.
Binafsi ni kijana nimeingia 31, ni muajiriwa seikalini shirika flani, Nilikuwa navutiwa sana na ujasriamali hivyo na mimi nikaona nisijivunge.
Nikaona nifungue steshonari nimweke dada wa kazi awe ananisaidia, sikutaka kukopa hivyo nikafikiria nifungue biashara ambayo mshara wangu unaweza kuwa mtaji, Basi nikakusanya mshahara, viposho na balance ya benki nikafanikiwa kununua photocopy machine, printe ya rangi, lamination, computer, madaftari, peni,n.k niligharamika milioni 3 na kitu hivi
Gharama za kila mwezi huwa ni chumba - 100,000, Mshahara wa binti- 100,000, chakula+choo+taka+usafiri wa binti - 90,000, umeme+ulinzi - 20,000, hivyo matumizi jumla huwa ni kama 310,000. Mauzo yote kwa mwezi huwa yanacheza kwenye laki 4 hadi laki 4 na nusu na kuna muda anakuwa pungufu kwa hio kama unavyoona hapo faida ipo ila ya kawaida kuifanya tu biashara isiwe na hasara
hio faida kiukweli inaniumiza maana hata nikizidisha mara 20 bado haifikii msharawangu baada ya makato, yani hata kazini huko watu baki wanaoniulizaga steshinari inaendeleaje huwa inabidi niwadanganye faida ili kuepuka aibu
sasa sijui nijiongeze vp wadau
Binafsi ni kijana nimeingia 31, ni muajiriwa seikalini shirika flani, Nilikuwa navutiwa sana na ujasriamali hivyo na mimi nikaona nisijivunge.
Nikaona nifungue steshonari nimweke dada wa kazi awe ananisaidia, sikutaka kukopa hivyo nikafikiria nifungue biashara ambayo mshara wangu unaweza kuwa mtaji, Basi nikakusanya mshahara, viposho na balance ya benki nikafanikiwa kununua photocopy machine, printe ya rangi, lamination, computer, madaftari, peni,n.k niligharamika milioni 3 na kitu hivi
Gharama za kila mwezi huwa ni chumba - 100,000, Mshahara wa binti- 100,000, chakula+choo+taka+usafiri wa binti - 90,000, umeme+ulinzi - 20,000, hivyo matumizi jumla huwa ni kama 310,000. Mauzo yote kwa mwezi huwa yanacheza kwenye laki 4 hadi laki 4 na nusu na kuna muda anakuwa pungufu kwa hio kama unavyoona hapo faida ipo ila ya kawaida kuifanya tu biashara isiwe na hasara
hio faida kiukweli inaniumiza maana hata nikizidisha mara 20 bado haifikii msharawangu baada ya makato, yani hata kazini huko watu baki wanaoniulizaga steshinari inaendeleaje huwa inabidi niwadanganye faida ili kuepuka aibu
sasa sijui nijiongeze vp wadau