Ninakemea uongo, uzushi na fitna kwa Rais Samia. Wote mnaokosoa hamtafanikiwa

Sasa ni rasmi wewe ni Zuzu tu kama mazuzu wakubwa wa Lumumba kina Jingalao na Elitwege. Kwa hiyo katiba inataka Rais akosolewe na Wabunge pekee? Weka Ibara hapa tuisome.
Kasema mawaziri, huna akili wewe? Ukisoma Hadi wapi?
 
Leo imenibidi niliongee hili ili niae huru kwa maana moyo unauma kuona uongo uzushi chuki na fitna kwa Mama Samia.
Ninaona ni Kama watu wamejipa ajira ya kudumu ya kukosoa maraisi. Kukosoa sio dhambi Ila inategemea na unachokosoa.
Hadi Sasa sijaona Kama Kuna jambo la kumkosoa Mama Samia, nasema SIJAONA KABISA.
Kuna watu pengine wanalipwa kwa kuikosoa serikali, hivyo serikali ifanye vizuri au vibaya wao wanakosoa tu.
Sasa jiulize unamkosoa mama Samia kwenye lipi? Ni kipi kakosea hadi Sasa hadi muanze midomomidomo?
Mara sijui kwa nini avunje vibanda, Sasa Kama kaona hawafati Sheria kwa nini asivunje?
Mtu anakurupuka anasema ooh kwa nini sijui kampa mwinyi gari, gari kweli? Tena kwa raisi mstaafu ni issue?
Wengine ooh sijui kasababisha mechi isichezwe? Akili za namna gani hizi? Ikatokea ukakutana na kibaka huko mtaani akakukaba utasema pia mama Samia ndio kamtuma?
Hakuna mwenye hoja kabisa ya kukosoa zaidi ya ushabiki tu. Tuache ushabiki tuchape kazi
Wanaojiita wanaharakati na yule jamaa yenu mliekuwa mnamuabudu kule twitter nao kila siku wanatafuta kwa nguvu la kuzusha ili tu Mama Samia aonekane hafai, sijui wenzetu walisaini mikataba ya kukosoa serikali?
Unamkosoa Mama Samia kwa lipi baya? ACHENI hizo, Ila tutaenda sawa maana kukosoa mnasema ni Uhuru wenu Ila hata sisi kuwakemea nyie ni Uhuru wetu
Mama Samia kanyaga twende...............!!
#kazi iendelee#
Una dhana mbaya ya kukosoa: kukosoa maana yake (kwa mtazamo wangu) ili 'bad' iwe 'good', 'good' iwe 'better' na 'better' iwe 'best'. Ni kama mwanfunzi shuleni. Kwa kawaida mwanafunzi anayefikisha maksi 50 kwa mia amefaulu. Lakini unaweza kumhitimiza mwanfunzi anayepata wastani wa 50 aweze kupata walau 60, akipata 60 utamhimiza apate 70, akipata 70 utamhimiza apate 80, akipata 80 utamhimiza apate 90 na akipata 90 utamhimiza apate 100 na hata akipata 100 utamhimiza aangalie asipate chini 100 - yaani apate 100+. Kumbe hata kama kiongozi akifanya vizuri anaweza kukosolewa aendelee kufanya vizuri zaidi, kuliko kunyamaza kwani anaweza kujisahau akarudi nyuma. Mimi ndivyo huwa naona ukosoaji na hasa unaojenga au unaomfanya mtu aboreshe utendaji wake.
 
Nashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
 
Nashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha ikibidi au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
Kweni kutukana Raia wa kawaida Sheria inasemaje? Sheria ni Sheria kuendelea kutunga utitiri wa Sheria ambazo nyingi hazitekelezeki ni ujinga
 
Wewe unaona ni sahihi pesa ya umma kuchezewa? Rais mstaafu anatumia gari na kila kitu cha umma mpk atakapo kufa, kama alikuwa anapata shida gari ni ndefu kwanini asibadilishiwe au kununua yeye mwenyewe ama kununuliwa na mtoto wake?
Hela ya umma kumnunulia raisi mustafu gari inayomfaa ni kuichezea? How old are you?
Hebu acha mizaha!

Mtu ambaye ameitumikia nchi kwa nafasi ya raisi siyo raia wa kawaida. Acheni kulalamika kwa pet issues ambazo hazina maana!
 
Nashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
Ndo mnakujaga kujuta baadaye kwa sheria uliyoitunga ukidhani unamkomesha fulani au hutaguswa nayo... JPM alikiri hadharani kwamba aliiunga mkono sheria ya viongozi kuzikwa Dodoma lakini hakujua kama angekuwa Rais. Alipopata urais akasema mwili wake haiwezi zikwa kwa wagogo
 
Nashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
Huu mwaka mpaka utakunya tu boga! Hakuna namna. Na usipo kunya hilo boga, haki ya nani nahama nchi!!
 
Nashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
Mkuu leo ndio unayaona haya au ni kujipendekeza tu. Ningekuona wa maana kama ungeanza ya kuyandika haya tokea enzi za JK ambaye naye alioga mvua za matusi humu mitandaoni, akaja mwendazake naye alitukanwa hadi basi.
 
Back
Top Bottom