Ninakemea uongo, uzushi na fitna kwa Rais Samia. Wote mnaokosoa hamtafanikiwa

Ndo mnakujaga kujuta baadaye kwa sheria uliyoitunga ukidhani unamkomesha fulani au hutaguswa nayo... JPM alikiri hadharani kwamba aliiunga mkono sheria ya viongozi kuzikwa Dodoma lakini hakujua kama angekuwa Rais. Alipopata urais akasema mwili wake haiwezi zikwa kwa wagogo
Huu ndio wakati muafaka wa kuzifuta sheria kandamizi na zile zisizotekelezeka
 
Hebu tuwekee mifano mitatu minne ya matusi husika.

Nashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
 
Mimi naona tukamatwe tufungwe maisha maana hatuna kazi za kufanya huko segedansi tutalima, tutatengeneza matofali tutakuza uchumi wa gereza.
 
Unataka watu waandike unachotaka wewe?
Ukiwa mtawala utakoselewa
Ukiwa kiongozi utashauriwa
Sasa jua tofauti ya utawala na uongozi
Kuna mtu anatukanwa kama Trump mbona hajafunga mtu? Naye alitawala badala ya kuongoza
Ili haya yasiwepo ni kusikiliza sauti za walipa kodi mengine mnajitakia
 
Nashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,

Uvumilivu wa mawazo tofauti ni shughuli nzito.

Usipovumilia mawazo ya wengine unaweza ita kuwa ni matusi.

Kwani matusi au kashfa za mwendawazimu zina impact gani kwa mtu anayejielewa?

Wanaoongelea umuhimu wa katiba mpya wana hoja siyo matusi. Wanaohoji zawadi za kina Mwinyi wana hoja si matusi hayo. Wanaohoji nyumba za akina Kikwette wana hoja si matusi.

Zijibiwe hoja hizo siyo kushupaza shingo kwenye viroja.
 
Nashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
Hasa hili kundi la mataga , chawa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Uvumilivu wa mawazo tofauti ni shughuli nzito.

Usipovumilia mawazo ya wengine unaweza ita kuwa ni matusi.

Kwani matusi au kashfa za mwendawazimu zina impact gani kwa mtu anayejielewa?

Wanaoongelea umuhimu wa katiba mpya wana hoja siyo matusi. Wanaohoji zawadi za kina Mwinyi wana hoja si matusi hayo. Wanaohoji nyumba za akina Kikwette wana hoja si matusi.

Zijibiwe hoja hizo siyo kushupaza shingo kwenye viroja.
Hoja gani zaidi ya kujaza upuuzi humu
 
Nashauri serikali itunge sheria ngumu zaidi kuwabana hawa wanaotukana viongozi mitandaoni,,aswa hawa ambao kila anachofanya Rais wao wanatukana na kubeza mitandaoni,,itungwe sheria ngumu zaidi ambayo mtu akishikwa iwe jela maisha au faini kubwa,,maana uhuru aliotupa Rais wakumkosoa tunautumia vibaya kwa kutoa kashfa na matusi,
mtu hapewi Uhuru wa kukosoa na Samia Bali katiba... Samia sio Mungu, kama ww unamuabudu kivyako
 
Kwa nini asianze kukiminya hicho kichwa chako kwanza ili kiwe na akili sawa na sisi binadamu wenzako? Maana kwa sasa akili zako hazina kabisa tofauti na zile za kuku eti!!
Kwani huyu Samia si ndie yule mlikuwa mnamsifia hapa jana na juzi au?
 
Bila fimbo hawaendi Hawa. Mama Samia chapa fimbo hawa
Kosa la mama ni yeye kujifanya mwanademcrasia!

Watz na democrasia wapi na wapi?

Anakuwa kama hakuwepo toka enzi za JK vile!

JK aliwapa watu uhuru wote ila wakamnyea kichwani.
 
Back
Top Bottom