connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 1,736
- 2,295
Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
Kaka kwa mjengo huu unakosaje furaha? Watu malofa tu wanaenjoy lifeWakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Mademu wanataka pesa sio majumbaPM yako itakua iko full now si haba
Uzaa hiyo Nyumba haraka sana, nachukua hiyo pesa nenda kapange, na utaona utakua na furahaa!Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Hama nenda ukapange posta utakaaje nje ya jiji...!!!Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778