Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,590
- 22,200
Tanganyika ilikuwa koloni la Uingereza chini ya Mfalme baadae Malikia, wakati tukiwa chini ya Mkoloni tulianza harakati za kudai uhuru, uhuru ni zaidi ya katiba lakini mkoloni alituvumilia na hakuwahi kumzuia Nyerere kwenda UNO kudai uhuru na kama kulitokea purukushani basi zilikuwa za kiwango cha chini sana sana kisicho na maumivu, huyo ndiye mkoloni mweupe tofauti na mweusi.