Ninaikumbuka ile CCM ambayo ukivaa sare zake unazomewa mitaani

Huu ni muda wenu ccm kutamba. Umesahau kipya kingali kinyemi? Muda waja Magufuli atakapochokwa kuiko ilivyo sasa. Wote mtamkana! Mmnesahau Kikwete alivyopendwa muhula wake wa kwanza? Kinachosubiriwa na wananchi ni utekelezaji wa ahadi zake. Mil 50 kila kijiji, elimu bure isiyoeleweka, mabombadia mzigo n.k. mwisho wa siku mtu wa chini anataka kuona maisha yake yanabadilika. Hivyo msuburi muda wa kuzomewa u waja. Muda wa kuzomewa ni wakati wa kutoa hesabu ni nini umewafanyia watanzania. Sasa hivi endeleeni na uongo uongo wenu wa kusifia lakini wananchi wameanza kuwashtukia. Hadithi nyiingi, kusifia kwiingi ilihali maisha yao yanazidi kuwa magumu. Nyie subirini muda wa kuzomewa u waja. Wananchi wameashaanza kuwashtukia. Zile kelele za makinikia na bil 300 vepee? Tunawaangalia tu mjue..... Kwa sasa tambeni sana tu. Si mmejipa exclusive right ya kupiga propangana wenyewe huku mkizuia vyama vingine? Tunasubiri Tanzania ya viwanda, mna miaka miwili tu mjue....! Sasa sijui umahiri wa kutumia kodi za wananchi kununua wachumia tumbo ndio viwanda mtavyoonesha watanzania miaka miwili ijayo? Muda wa kuficha makijani yenu u waja na wala hauko mbali. Kwa sasa jipeni moyo...!

Neno la bwana..
 
Kweli hizi n laana...

Kama watu wanakubali Kabisa kipindi kile ccm haikua na uwezo ata wa kutamkwa na JPM... Kwa uhalisia waliibaa kura Hapa tz bara na visiwan zenjiii

Ccm haitaweza kukaa miaka yote madarakani n lazima itatoka tuu ata mwaka 2070 itatoka tu na ndio watanzania wataanza kula matunda ya nchi hii...

Chama kimoja hakiwezi kukaa madarakani miaka yote mpaka wanaona ni haki ya kuitawala nchii hii... Sisi sote tuna mamlaka ya kuiongoza na kuitawala nchii hii si kikundi au chama kijidai kina uwezo wa kuitawala na kutawala watu million 50 ndani ya nchii hii la si vyo kitatukuta kinacho wakuta DRC leo

Ccm sio kilakitu kwa watu... Kuna watu wana mawazo mazur tu wanashindwa kuyatoa sababu mtatuona wachochezi

Mfano katiba mpyaa n bora kuliko icho chama cha ccm kinachoongoza nchii hii...
Kama katiba n muhimu ivyo na ccm haiwezi kuleta bac jua kuwa ccm c chama kinachofaa kuongoza mtu...
 
Hahaha huu uzi unafadhiliwa nini mbona nyuzi zingine huukuti siku ya pili, huu upo siku ya nne leo na umeganda hautoki.
 
Kinachotokea sasa c mapenzi kwa chama ni unafik wa kujipendekeza, kutafuta vyeo na kutib njaa. Hao hao wanaovaa nguo za kijani na kupita mtaani ndo hao hao wanaolalamikia hali ngum ya maisha huku wakimsifu na kumsujudia mwenyekiti wa chma. Mwaka 2015 CCM isingeweza kushinda uchaguz km ungekua wa huru na haki ilitumia nguvu nying sana kuiba kura pamoja na kudhibit tume ya uchaguz ili isipoteze dola. Kwa vile sasa imeshashika dola haitak tena upinzan km ule uwepo next time ndo maana inajitahid kuua upinzan kabsa. Wengne sasa wapo CCM coz wanafata ile slogan " if you can't defeat them join them" ili mrad tu maisha yaendelee km mwanzo. Maana saiv Tz ukionekana ni mpinzan utaish maisha ya jehanam dunian.
Mkuu hoja yako ingekuwa na nguvu kama wote wanaojounga au kuhamia ccm kama wangekuwa viongozi.kama watu laki moja wakiamia ccm ukweli ni kwamba watakao vikiriwa kupata kazi au cheo hawatazidi 50.hivyo ni wazi msukumo sio vyeo ila ni usahihi wa sera kwa wakati muafaka.
Wakati wimbi la watu walipokuwa wanakimbilia chadema walikuwa hawafati kupata vyeo ila sera sahihi ya kipinga ufisadi iliwapa ujiko watu wakaona ni chama sahihi,leo wameacha sera ya ufisadi watu wanawakimbia hivyo ukitafakari utaona wazi kuwa ukiwa na sera sahihi utafuatwa.
 
Mkuu hoja yako ingekuwa na nguvu kama wote wanaojounga au kuhamia ccm kama wangekuwa viongozi.kama watu laki moja wakiamia ccm ukweli ni kwamba watakao vikiriwa kupata kazi au cheo hawatazidi 50.hivyo ni wazi msukumo sio vyeo ila ni usahihi wa sera kwa wakati muafaka.
Wakati wimbi la watu walipokuwa wanakimbilia chadema walikuwa hawafati kupata vyeo ila sera sahihi ya kipinga ufisadi iliwapa ujiko watu wakaona ni chama sahihi,leo wameacha sera ya ufisadi watu wanawakimbia hivyo ukitafakari utaona wazi kuwa ukiwa na sera sahihi utafuatwa.
Mkuu amin usiamin viongoz wote wanaohama vyama vyao saiv nia yao inafanana either mkuu awaone wanamuunga mkono awatunuku vyeo vingne au wapewe nafasi ya kugombea kupitia ccm maana wanajua watatangazwa washindi tu ata wasipo shinda na ukishakua mbunge wa CCM una guarantee ya kua kwenye hiyo position muda mrefu sana tofaut na upinzan. Wengne wanataka mambo yao ya kibiashara au kisiasa yaende vizur in a smooth way simply bcoz rais anafaham wanamuunga mkono. Ndo maana tunaona kila mtu especially wateuliwa na hao waliohama vyama kutwa kucha kumsifia rais. Mfano wengne wameshahama na walipohama walisema wamehama kwa sabab gan muda umeenda wameona kuhama kwao hakuja kik sana kaamua tena kuita vyombo vya habar Kumkumbushia mh. kua na yeye kahama.
 
unaweza kutuambia mtaalamu aliyemshauri Magufuri wakati wa kampeni asitaje neno CCM au ni maneno yako ya kuokota vijiweni
Kama kusoma huwezi, hata kuangalia picha huwezi?
5b058af55c227ca30432ea78ff1671c9.jpg
 
Kinachotokea sasa c mapenzi kwa chama ni unafik wa kujipendekeza, kutafuta vyeo na kutib njaa. Hao hao wanaovaa nguo za kijani na kupita mtaani ndo hao hao wanaolalamikia hali ngum ya maisha huku wakimsifu na kumsujudia mwenyekiti wa chma. Mwaka 2015 CCM isingeweza kushinda uchaguz km ungekua wa huru na haki ilitumia nguvu nying sana kuiba kura pamoja na kudhibit tume ya uchaguz ili isipoteze dola. Kwa vile sasa imeshashika dola haitak tena upinzan km ule uwepo next time ndo maana inajitahid kuua upinzan kabsa. Wengne sasa wapo CCM coz wanafata ile slogan " if you can't defeat them join them" ili mrad tu maisha yaendelee km mwanzo. Maana saiv Tz ukionekana ni mpinzan utaish maisha ya jehanam dunian.
Kutoweka kwa viroba kumeleta usitarabu katika siasa hasa wakati wa uchaguzi
 
Kusema ukweli Rais Magufuli kaibadili CCM.

Sasa hivi watu hawaoni aibu kujihusisha nayo au kujitambulisha kuwa ni wana CCM.

Jambo jingine ambalo nimeliona ni kwamba, siku hizi watu wanaona aibu kujihusisha na/au kujitambulisha kama CHADEMA.

Ukimuuliza mtu kama yeye ni kamanda [CHADEMA], jibu unalopata ni ‘mimi sina chama’.

Mbowe kakiharibu kabisa hicho chama. Kakiuza chama kwa mafisadi na kukifanya kipoteze kabisa mamlaka ya kimaadili kilichokuwa nayo kabla ya Julai 2015.

Sasa hivi CHADEMA sucks. It’s a joke of a party with no clear purpose or direction!
kwa sasa mmekuwa wababe wasilaha na sio hoja kama tulivozoea mkizomewa mnakata watu kwa mapanga maana polisi Ni wenu na mahakama Ni zeyjukwaani kwasasa hamna jipya nao maana mkapiga marufuku mikutano ya siasa
 
Kinachotokea sasa c mapenzi kwa chama ni unafik wa kujipendekeza, kutafuta vyeo na kutib njaa. Hao hao wanaovaa nguo za kijani na kupita mtaani ndo hao hao wanaolalamikia hali ngum ya maisha huku wakimsifu na kumsujudia mwenyekiti wa chma. Mwaka 2015 CCM isingeweza kushinda uchaguz km ungekua wa huru na haki ilitumia nguvu nying sana kuiba kura pamoja na kudhibit tume ya uchaguz ili isipoteze dola. Kwa vile sasa imeshashika dola haitak tena upinzan km ule uwepo next time ndo maana inajitahid kuua upinzan kabsa. Wengne sasa wapo CCM coz wanafata ile slogan " if you can't defeat them join them" ili mrad tu maisha yaendelee km mwanzo. Maana saiv Tz ukionekana ni mpinzan utaish maisha ya jehanam dunian.
kwakweli ccm na magufuli wanacho fanya ni kuwapiga changa la macho International comunity ili waonekane ccm wanapedwa pindipo wakiiba kura 2020 isiaminike kama wameiba
 
Huwezi kupambana na ukweli!

Mkuu hii post yako inaanza kuchina ikiwa bado front page. Umesikia mgombea wa udiwani wa cdm huko Kagera ametekwa? Alipewa sh 8m aachane na hiyo kata akakataa. Katika mazingira hayo utaacha kuona ccm sasa hivi inakubalika?
 
Mkuu hoja yako ingekuwa na nguvu kama wote wanaojounga au kuhamia ccm kama wangekuwa viongozi.kama watu laki moja wakiamia ccm ukweli ni kwamba watakao vikiriwa kupata kazi au cheo hawatazidi 50.hivyo ni wazi msukumo sio vyeo ila ni usahihi wa sera kwa wakati muafaka.
Wakati wimbi la watu walipokuwa wanakimbilia chadema walikuwa hawafati kupata vyeo ila sera sahihi ya kipinga ufisadi iliwapa ujiko watu wakaona ni chama sahihi,leo wameacha sera ya ufisadi watu wanawakimbia hivyo ukitafakari utaona wazi kuwa ukiwa na sera sahihi utafuatwa.[/QUOTE

Sasa hvi ni wangapi wanathubutu kuhama ccm kiwaziwazi? sasa hivi ni fashion kuhamia ccm hadharani kwani usalama wako uko juu. Umesahau mgombea wa ccm kinondoni aliye sema sasa hivi atatembea na gari kioo kikiwa chini maana ukiwa ccm huwezi kushambuliwa na risasi?
 
Mkuu kabla hujaanza kutoa lawama soma hii link

LINK>>>> Kuhusu kupotea kwa mgombea wa CHADEMA-Muleba

Mkuu kwenye hiyo link uliyoweka napitie kupata nini? Hii link nimeiona toka jana. Nilipoona mpaka kamanda wa polisi kakiri ila wanaendelea na ufuatiliaji nikajiridhisha kwamba kuna jambo kama hilo. Leo asubuhi nimesikiliza redio free africa vipindi vya asubuhi. Inasemekana huyo mgombea alipewa 8m akakataa toka kwa watu waliomwambia aachane na hiyo kata. Mtoa taarifa ameripoti hilo jambo, polisi wamepokea hayo malalamiko lakini hawajawapa walalamikaji RB no kwa ajili ya hilo suala, kwa maelezo kwamba wanasubiri maelekezo ya suala hilo. Je ni sahihi polisi kutokutoa RB kwa mlalamikaji? Mbona inakuwa kama polisi wanajua hili jambo ama wanasita kuchukua hatua? Kwa matukio ya hivi unategemea hiyo ccm kuendelea kuzomewa?

Juzi nilikuambia ccm sio imara, na sasa ndio inazidi kuwa dhaifu kisiasa, kwani inahamishia siasa zake kwenye hali ya kijeshi chini ya mwenyekiti wake ambaye anatumia kofia ya kuwa amiri jeshi mkuu kukibeba chama chake. Ni wananchi wangapi wenye uwezo wa kutoka kwenye siasa na kuanza kupambana kijeshi? Hayo manunuzi yanayofanyika kweli ndio mnategemea kwamba bado mko kwenye ushindani wa kisiasa au mnajitekenya na kucheka wenyewe?
 
Back
Top Bottom