Ninahofia huenda kuna kila dalili Ebola ikaingia Tanzania, tayari imetua Kenya. Je, Serikali imejiandaa kuikabili au iwe kama Dengue?

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Kutokana na kuzembea kupita kiasi kwa serikali ya awamu ya tano kupambana na Dengue mwaka huu, na athari kubwa tulizoona kutokana na homa hiyo. Huenda tukaenda kukumbwa na Ebola. Je wizara imejiandaa?

Kusema kweli wizara ya afya sasa sijui ni woga au nini wamekuwa hawajishughulishi na mapambano ya homa za milipuko kama dengue na zile zenye hatari kubwa ya kulipuka kama Ebola.

Je tumeandaa mazingira ya kupambana na ugonjwa huo au itakuwa kama dengue? Inasikitisha sana mathalan wakati watanzania kadhaa wa Dar es Salaam walikuwa wakiteswa na dengue, kipimo cha homa hiyo kwenye hospitali kadhaa kilikuwa kikipatikana kwa bei ya ghali sana ikilinganishwa na udharura wa ugonjwa huo hali inayoonyesha kuwa ni kama wizara haikujishughulisha kikamilifu na homa hiyo.

Niiombe serikali ya awamu hii iache kuwaachia wananchi kujipambania na majanga yao. Hii ni dhana iliyojengeka na inaonyesha ni kama imekuwa. Tumeshuhudia majanga ya njaa, tetemeko, uharibifu wa mazao na kukosekana kwa masoko ya mazao ni mifano tosha inayotuonyesha kuwa serikali ya awamu ya tano imeaumua kujiweka mbali na shughuli za dharura zinazotokea kwenye jamii. Kwa maana hiyo basi jitihada za kupambana na Ebola ambayo inaonyesha viashiria vingi kutua nchini ziwekwe ili lisijekugeuka tena kuwa janga litakalotafuna maelfu ya watanzania na kuwaweka vitandani kama ilivyokuwa kwa homa ya dengue.
 
Trust me,upo Bongo..sema serikali ya Jiwe tena!

Dengue yenyewe bado wanagoma katakata ku-declare officially kua ni issue..

Nakumbuka Dengue (correct:Zika) kipindi kile walimchomoa nayo Dr Mwele pale NIMRI.

Siwezi iamini hii regime,hata iweke!
 
Kutokana na kuzembea kupita kiasi kwa serikali ya awamu ya tano kupambana na Dengue mwaka huu, na athari kubwa tulizoona kutokana na homa hiyo. Huenda tukaenda kukumbwa na Ebola. Je wizara imejiandaa?

Kusema kweli wizara ya afya sasa sijui ni woga au nini wamekuwa hawajishughulishi na mapambano ya homa za milipuko kama dengue na zile zenye hatari kubwa ya kulipuka kama Ebola.

Je tumeandaa mazingira ya kupambana na ugonjwa huo au itakuwa kama dengue? Inasikitisha sana mathalan wakati watanzania kadhaa wa Dar es Salaam walikuwa wakiteswa na dengue, kipimo cha homa hiyo kwenye hospitali kadhaa kilikuwa kikipatikana kwa bei ya ghali sana ikilinganishwa na udharura wa ugonjwa huo hali inayoonyesha kuwa ni kama wizara haikujishughulisha kikamilifu na homa hiyo.

Niiombe serikali ya awamu hii iache kuwaachia wananchi kujipambania na majanga yao. Hii ni dhana iliyojengeka na inaonyesha ni kama imekuwa. Tumeshuhudia majanga ya njaa, tetemeko, uharibifu wa mazao na kukosekana kwa masoko ya mazao ni mifano tosha inayotuonyesha kuwa serikali ya awamu ya tano imeaumua kujiweka mbali na shughuli za dharura zinazotokea kwenye jamii. Kwa maana hiyo basi jitihada za kupambana na Ebola ambayo inaonyesha viashiria vingi kutua nchini ziwekwe ili lisijekugeuka tena kuwa janga litakalotafuna maelfu ya watanzania na kuwaweka vitandani kama ilivyokuwa kwa homa ya dengue.
Serikali haiusiki na ugonjwa wa Ebola kwa sababu itakuwa haijaleta rejea tetemeko la kagera.
 
Acha urofa ,mwele alitimliwa sababu ya dengue? Fatilia taarifa ndo uandike humu
Trust me,upo Bongo..sema serikali ya Jiwe tena!

Dengue yenyewe bado wanagoma katakata ku-declare officially kua ni issue..

Nakumbuka Dengue kipindi kile walimchomoa nayo Dr Mwele pale NIMRI.

Siwezi iamini hii regime,hata iweke!
 
Kusema kweli wizara ya afya iko slow sana kupambana na magonjwa mlipuko. Tumeyaona kwenye Dengue fever, tunaendelea kuyaona kwenye Kipindupindu. Mpaka sasa, karibu hospitali zote za serikali za mkoa wa Dar, hazina Reagents kwa ajili ya kupima Dengue fever. Tumebaki tunawatibu wagonjwa kwa kupiga ramli mithili ya waganga wa kienyeji.
Kwa upande wa ugonjwa wa kipindupindu, hospitals nyingi hakuna zana za kujilinda wakati wa kuhudumia wagonjwa. Na senior Drs. baada ya kuliona hilo, wanawasukumia Juniors kuwahudumia wagonjwa hao.
Sasa Ebola ikiingia tuu(Mungu aepushie mbali balaa hili), aiseee Juniors watapukutika kama nzige.
 
Nifiche nini mwehu wewe?

Unaona kuchanganya Zika/Dengue ndio unaweza nitukania hapo kis3nge s3nge?

Kurupuka na masturbation huko!

Mwehu wewe!
Maajabu JamiiForums kuruhusu punguani waanze kuchanguia humu.Yaani pumba tupu unaandika halafu unakimbilia matusiChukua dole la kati wewe kenge
 
Acha urofa ,mwele alitimliwa sababu ya dengue? Fatilia taarifa ndo uandike humu
Wacha niingilie, nafikiri weee ndio lofa na mpumbafu namba moja,hebu eleza Dr Mwele alitokaje pale NIMR? Kama hujui ficha ujinga wako kwa kukaa kimya
 
Maajabu JamiiForums kuruhusu punguani waanze kuchanguia humu.Yaani pumba tupu unaandika halafu unakimbilia matusiChukua dole la kati wewe kenge
Jamiiforum yako au una mandate yoyote humu?

Wamekuomba uwape ushauri kuhusu member yeyote humu au ni matako yanakuwasha?

Aliekimbilia matusi ni wewe baada ya kuona mahali pakuweza mkosoa mtu,with no holding up,ukaanza masterbation non stop!

Hold up motherfucker!
 
Jamiiforum yako au una mandate yoyote humu?

Wamekuomba uwape ushauri kuhusu member yeyote humu au ni matako yanakuwasha?

Aliekimbilia matusi ni wewe baada ya kuona mahali pakuweza mkosoa mtu,with no holding up,ukaanza masterbation non stop!

Hold up motherfucker!
Madhara ya kuzaliwa chooni na mama mdangaji,huna hoja umebakiza matusi tu.
 
Madhara ya kuzaliwa chooni na mama mdangaji,huna hoja umebakiza matusi tu.
Hhahaaaa

Umeona utukane mama yangu ambae hayupo hapa to defend herself?

What a punk move?!

Mimi nakutukana wewe hapo kam ulivyo maafaka!

Na wewe nae mjanja?Wajanja wanaenda kutukana wanawake?

Tukana your own size maafaka!

Males with female tendencies,flaming!

Hold'yo butt!
 
Back
Top Bottom