Yassir Abbas
New Member
- Jan 2, 2020
- 2
- 2
Jamani mimi nimemaliza Form 4, nataka nichukue sheria ila nataka niende college.
Mnanisaidiaje jinsi ya kujinga na vyuo:
Daraja la ufaulu liwe vipi?
Na wanasajili lini?
NB: Hiyo ni kwa kila chuo mtakacho niambia kizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnanisaidiaje jinsi ya kujinga na vyuo:
Daraja la ufaulu liwe vipi?
Na wanasajili lini?
NB: Hiyo ni kwa kila chuo mtakacho niambia kizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app