Ninahitaji Msaada Wakuu: JF

Apr 27, 2006
26,588
10,374
Wakuu wote heshima mbele, toka siku nilipo-post dataz kwenye ishu ya Mwana-Halisi na acid, na kuahidi kuwa nitaleta zaidi nimekuwa siwezi tena kuingia JF kuna maneno mazito ya kutisha ati kutoka FBI kwamba nikiingia mara mbili tu nitatafutwa nao, yaani FBI, sasa kwa wale mlio na ujuzi zaidi wa intrnet hebu nipeni info what to do najua kuna mfisadi mmoja ananichezea, he should know better kuwa hawezi kitu,

kwa wale wenye ujuzi zaidi ninaomba msaada naman ya kupambana na huyu nduli ambaye tayari nimejua ni nani,

Ahsante Wakuu nipo kwenye mtuwameli-AT-yahoo.com
 
Hao wanakupiga fiksi tu mkuu, sasa FBI watakutafuta ili iweje? labda wakuajiri kwa sababu utawasaidia kuwapa dataz za kuwapata wahalifu, FBI si kama polisi yetu ya bongo.
 
Mhh, FBI wa kutumia mapanga butu? Naamini kuna watu waliokamatwa na inasemekana kuna waliokimbia kwa nini usimreport huyo mtu akaisaidie polisi. Nitumi jina lake kwenye PM yangu nitamfikisha kwa wahusika
 
You need not to spit it here FMES.......how will you know kuwa atakayekusaidia ndio huyo NDULI mwenyewe.....then utakuwa umejifunga zaidi,

Well, naamini wewe ni mtu wa ma-connection....utapata mtu wa kukupiga tafu Mkuu wangu
 
Field
unaongea ukweli au unapiga mkwara???

Mbona upo online mda mrefu kama ni kweli wanakutafuta hiyo ni hatari sana yani watakukamata kama kipanya papuuuuuuuu.

Harafu vilevile kama kweli wanakutafuta unaweza kuwa kwepa kwa kutumia komputa tofauti tofauti kwa mahali tofauti tofauti pia mfano leo una post kutoka internet ya sanaa pale bagamoyo harafu kesho unatumia internet pale kariakoo kwa mtindo huo huo hakamatwi mtu.
Unajua kila komputa ina IP yake hivyo wana IT wanacheza mfano na ulichoandika wanajua hadi mahali ulipo pia akiamua kukufanyia mtima nyongo anaweza kuizima komputa yako milele.

Ama anaandika program kwa programing language yake anayoijua harafu hiyo program anaituma inakuja ktk komputa yako inakuibia data zako wanakufahamu moja kwa moja kuwa aha kumbe Field ni fulani anafanya kazi mahala fulani.Na program za namna hii ndizo zinajulikana kama Virusi.

Hivyo kama walishakufahamu kwa kuchukua data zako kupitia hivyo viprogram basi mkuu inabidi ukubali moja kati ya mawili kutotishwa kwa kutetea haki ama unyee kambi.

Kifupi data mhimu inabidi watu wajifunze kuhifadhi ktk komputa isiyokua na mtandao yani haiko ktk internet(network of network).
 
Mmmmh!
Haya nayo ni mambo makubwa ya JF. Mwaka huu tutaona mengi. Ikiwa mkia tu ndio unaoonekana, tutautumia huohuo kujua kichwa kilipo.
 
Wakuu wote heshima mbele, toka siku nilipo-post dataz kwenye ishu ya Mwana-Halisi na acid, na kuahidi kuwa nitaleta zaidi nimekuwa siwezi tena kuingia JF kuna maneno mazito ya kutisha ati kutoka FBI kwamba nikiingia mara mbili tu nitatafutwa nao, yaani FBI, sasa kwa wale mlio na ujuzi zaidi wa intrnet hebu nipeni info what to do najua kuna mfisadi mmoja ananichezea, he should know better kuwa hawezi kitu,

kwa wale wenye ujuzi zaidi ninaomba msaada naman ya kupambana na huyu nduli ambaye tayari nimejua ni nani,

Ahsante Wakuu nipo kwenye mtuwameli-AT-yahoo.com

Mkuu FMES,

Kifupi ni kuwa kuna mtu tokea kwenye IP yako alifanya upuuzi wa hali ya juu akitaka ku-run scripts unsafe kuja JF. Nia yake haikuwa nzuri na nilitoa server ban kwenye IP zote alizotumia.

Am really sorry that you were the victim of this damn ban. It wasn't my intention. I have released all IP addresses in this ban and you wont get such messages.

Naondoa hiyo picha inayoonekana pia kwakuwa hata mimi sifurahishwi na ujumbe uliopo.

Angalia PM yako utajua nani anatumia IP yako kufanya fraud. I will take care of her.

Thanks for your patience.

Invisible
 
Mkuu FMES,

Kifupi ni kuwa kuna mtu tokea kwenye IP yako alifanya upuuzi wa hali ya juu akitaka ku-run scripts unsafe kuja JF. Nia yake haikuwa nzuri na nilitoa server ban kwenye IP zote alizotumia.

Am really sorry that you were the victim of this damn ban. It wasn't my intention. I have released all IP addresses in this ban and you wont get such messages.

Naondoa hiyo picha inayoonekana pia kwakuwa hata mimi sifurahishwi na ujumbe uliopo.

Angalia PM yako utajua nani anatumia IP yako kufanya fraud. I will take care of her.

Thanks for your patience.

Invisible

Ebwana ee!
Kumbe kuna mtu anataka kutumia jina la FMES kuingilia kazi za JF sio?
 
Wasikutishe wala nini wee cha kufanya mtwangie tibaigana tu au Rwambow kivyakovyako wala huna haja ya kutupostia jina lake huku au kama vipi habari nyeti wapostie administrators ili wazipost toka majuu
 
Mkuu Invinsible,

Vipi bado siwezi kuingia mkuu, sasa hivi ninatumia wa kuazima, mkuu Pedro, ndio maana nilisema kuwa ninamjua aliyefanya huu upuuuzi, mimi sina shida ya kutafutwa na FBI, ni wale tu wanaojifanya usalama wa bongo, na FBI pia ndio wanaotakiwa sio mimi raia mwema,

Mkuu Invisible, tuwasiliane mkuu!

Ahsante!
 
Mkuu Invinsible,

Vipi bado siwezi kuingia mkuu, sasa hivi ninatumia wa kuazima, mkuu Pedro, ndio maana nilisema kuwa ninamjua aliyefanya huu upuuuzi, mimi sina shida ya kutafutwa na FBI, ni wale tu wanaojifanya usalama wa bongo, na FBI pia ndio wanaotakiwa sio mimi raia mwema,

Mkuu Invisible, tuwasiliane mkuu!

Ahsante!

Pole sana kwa yaliyokukuta mkuu ES. Natumaini suluhisho litapatikana si muda mrefu ili uendelee kumkoma nyani kama kawa...

Invisible, duuh, kumbe mademu wengine siku hizi ni nuksi eeeh!!!.... lakini miye namwonea huruma sasa, kwa yale yatakayo mkuta (HER) huyo, si unajua tena, hasira za 'robot' hazitabiriki.... huchelewi kukuta inamwagia oil :p mwili mzima ilimradi tu asiguse hiyo computa tena!! lol


SteveD.
 
Pole sana kwa yaliyokukuta mkuu ES. Natumaini suluhisho litapatikana si muda mrefu ili uendelee kumkoma nyani kama kawa...

Shukrani mkuu, lakini ninashukuru kuwa Robot anajua kuwa aliyefanya ni "she" sasa nafikiri ninaelewa kinachoendelea, ndio tabia zetu wabongo roho mbaya na umasikini mpaka kwenye akili!
 
FMES,

wengine wanaiita tabia hiyo "Black Crab Syndrome".........unaijua hiyo Mzee? wengi yamewakuta kutokana na tabia hizi za watu wanyambilisi
 
Mkuu Invinsible,

Vipi bado siwezi kuingia mkuu, sasa hivi ninatumia wa kuazima, mkuu Pedro, ndio maana nilisema kuwa ninamjua aliyefanya huu upuuuzi, mimi sina shida ya kutafutwa na FBI, ni wale tu wanaojifanya usalama wa bongo, na FBI pia ndio wanaotakiwa sio mimi raia mwema,

Mkuu Invisible, tuwasiliane mkuu!

Ahsante!

There's no IP banned up to this moment. Kwa ajili yako nimewafungulia wote lakini natafuta njia mbadala ya kutoa zawadi ya wakorofi.

Pole kwa usumbufu.

Invisible
 
Mkuu FMES,

Kifupi ni kuwa kuna mtu tokea kwenye IP yako alifanya upuuzi wa hali ya juu akitaka ku-run scripts unsafe kuja JF. Nia yake haikuwa nzuri na nilitoa server ban kwenye IP zote alizotumia.

Am really sorry that you were the victim of this damn ban. It wasn't my intention. I have released all IP addresses in this ban and you wont get such messages.

Naondoa hiyo picha inayoonekana pia kwakuwa hata mimi sifurahishwi na ujumbe uliopo.

Angalia PM yako utajua nani anatumia IP yako kufanya fraud. I will take care of her.

Thanks for your patience.

Invisible

THUMB UP Mr. Invicible
 
Huyu ni nyang'au bin fisadi anayetaka kukuweka kwenye majaribu. Mambo yakiwa poa huko kwako tupe hizo nyeti.
 
Back
Top Bottom