Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 523
- 525
Nina nyumba ya ghorofa nne eneo la mjini. Ninahitaji kuibadilisha iwe kwenye units property ili niweze kuuza baadhi ya units na zingine kupangisha.
Wenye utalaam wa kisheria juu ya hili mnisaidie.
Wenye utalaam wa kisheria juu ya hili mnisaidie.