binti ashura
Senior Member
- Jan 14, 2011
- 118
- 19
Ndugu Nahisi nina mimba ambayo hata mwezi haijatimiza ikiwa nina mtoto wa miezi 8 sasa je naweza kuendelea kumnyonyesha huyu mtoto au nimuachishe?. nauliza kama anaweza kupata madhara.
Natanguliza shukurani!
Natanguliza shukurani!