Wadau nimepata uhamisho kikazi kuhamia Mwanza sina matarajio ya kurudi kuishi Dar tena,hivyo nimeamua kuvipiga bei vitu vifuatavyo maana gharama ya kuvisafirisha imenishinda:
1. Kitanda 5x6.(100,000/=)
2. Kabati la vyombo (150,000/=)
3. Makochi 2,2x2 (sio sofa).(80,000/=)
4. Friji(creda cold store ya UK)-(120,000/=)
5. TV LG 24" (300,000/=) bado mpya!
6. Subwoofer(50,000/=)
7. Feni (10,000/=)
Vitu vyote viko poa kabisa.
Pia Nimepanga maeneo ya victoria karibu na makumbusho,chumba na sebule vimelipiwa kodi hadi mwezi wa saba,(110,000),pana umeme na maji,wapangaji watatu tu. Nimefunga DSTV,kama unaweza kunirudishia kodi iliyobaki (miezi 6) tuwasiliane nikupishe. Yani kama kuna mtu ndio anataka kuanza maisha hapa mjini hii dili ndio inamfaa zaidi maana ningeweza kumuachia kila kilichomo kwa bei ya maelewano.
Kama iko interested ni PM tufanze biashara.
1. Kitanda 5x6.(100,000/=)
2. Kabati la vyombo (150,000/=)
3. Makochi 2,2x2 (sio sofa).(80,000/=)
4. Friji(creda cold store ya UK)-(120,000/=)
5. TV LG 24" (300,000/=) bado mpya!
6. Subwoofer(50,000/=)
7. Feni (10,000/=)
Vitu vyote viko poa kabisa.
Pia Nimepanga maeneo ya victoria karibu na makumbusho,chumba na sebule vimelipiwa kodi hadi mwezi wa saba,(110,000),pana umeme na maji,wapangaji watatu tu. Nimefunga DSTV,kama unaweza kunirudishia kodi iliyobaki (miezi 6) tuwasiliane nikupishe. Yani kama kuna mtu ndio anataka kuanza maisha hapa mjini hii dili ndio inamfaa zaidi maana ningeweza kumuachia kila kilichomo kwa bei ya maelewano.
Kama iko interested ni PM tufanze biashara.