kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,662
- 4,330
Nafikiri kuhanzisha hospital ya dawa za asili Yaani kutibu kwa dawa za asili.
Maana Kuna magonjwa mengi Ambayo yanashindikana kutibiwa hospitali kabisa na wanawaza kabisa kukupa dawa Lakini ukakuta ni ya kupunguza kabisa ugonjwa.
Na mengine yanatibika kabisa hospitali Lakini garama yake ni kubwa kabisa. Ila ukiyatibu Ki asili kabisa yanaponeka
Sasa Kuna waganga wengine wa asili ni matapeli kabisa wengine mbele ya kukutibu Wana kuomba pesa ambazo sitakufilisi kabisa au ambazo utoweza kulipa.
Sasa mimi Nina fikiri kuomba serekali kibali kabisa cha kufunguwa hospital ya dawa za asili kabisa na tuta kuwa tuna tumia na system zingine Kama kupima ugonjwa Maana tuta ajiri waganga kabisa.
Au una enda kupimwa hospital na kutibiwa uko ikishindikana na sisi wa tiba za asili tuna jaribu bahati yetu
Sasa ndugu zangu mnanishauri nini juu ya jambo ili je ni sahii au
Maana Kuna magonjwa mengi Ambayo yanashindikana kutibiwa hospitali kabisa na wanawaza kabisa kukupa dawa Lakini ukakuta ni ya kupunguza kabisa ugonjwa.
Na mengine yanatibika kabisa hospitali Lakini garama yake ni kubwa kabisa. Ila ukiyatibu Ki asili kabisa yanaponeka
Sasa Kuna waganga wengine wa asili ni matapeli kabisa wengine mbele ya kukutibu Wana kuomba pesa ambazo sitakufilisi kabisa au ambazo utoweza kulipa.
Sasa mimi Nina fikiri kuomba serekali kibali kabisa cha kufunguwa hospital ya dawa za asili kabisa na tuta kuwa tuna tumia na system zingine Kama kupima ugonjwa Maana tuta ajiri waganga kabisa.
Au una enda kupimwa hospital na kutibiwa uko ikishindikana na sisi wa tiba za asili tuna jaribu bahati yetu
Sasa ndugu zangu mnanishauri nini juu ya jambo ili je ni sahii au