lukatony
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 667
- 522
Habari!wapendwa naomba ushauri kidogo,kwa umri nilionao napaswa niwe na familia,am above 30yrs.Nimekuwa kwenye relation za kudumu yapata tatu sasa lakin zote zimeishia kuparaganyika mwishoni.
Ya kwanza iliparaganyika Sababu mi niliamua kusitisha mahusiano baada ya kugundua Ana mahusiano mengine na ambayo kiukwel may b yalichangiwa na umbali uliokuwepo baina yetu,we stayed with her for 3yrs,mkakati ukiwa kuja kuoana lakin wakati sasa tukielekea huko ndipo nilipogundua Ana mahusiano kayaanzisha recently,alikanusha pamoja na uthibitisho mwingi,ok sababu nilikuwa nampenda nilishindwa kumuacha,baadaye nilipogundua mchezo unaendelea na yule mtu wake nikaamua kumuacha.
Wa pili yeye tulikaa miaka miwili,alipomaliza Chuo na kupata kazi sehemu nyingine haikupita hata mwaka nikanyanganywa nikakubali
matokeo,nikaanza upya pamoja na kwamba tulishapanga mpaka kuoana mitakuwa mwezi wa ngapi,nikapiga konde Nikakubali matokeo.
Wa tatu ndo huyu sasa tunaelekea kuachana baada ya miaka miwili naye.Maana kapata kazi nzuri in a private company na mkoa mwingine na kwa sababu she is graduate na alikuwa hana kazi ka accept qickly.
Sasa nijuavyo Kuna kila dalili za Kuachana huko mbeleni.
Kwa nini nasema hivi?Scenario zote za nyuma zilisababishwa na umbali.
Na Sababu kubwa ni kwamba pamoja na kwamba am not handsome,cku zote napenda wasichana wazuri.
Sasa wadau nifanyeje nioe nami?
Ya kwanza iliparaganyika Sababu mi niliamua kusitisha mahusiano baada ya kugundua Ana mahusiano mengine na ambayo kiukwel may b yalichangiwa na umbali uliokuwepo baina yetu,we stayed with her for 3yrs,mkakati ukiwa kuja kuoana lakin wakati sasa tukielekea huko ndipo nilipogundua Ana mahusiano kayaanzisha recently,alikanusha pamoja na uthibitisho mwingi,ok sababu nilikuwa nampenda nilishindwa kumuacha,baadaye nilipogundua mchezo unaendelea na yule mtu wake nikaamua kumuacha.
Wa pili yeye tulikaa miaka miwili,alipomaliza Chuo na kupata kazi sehemu nyingine haikupita hata mwaka nikanyanganywa nikakubali
matokeo,nikaanza upya pamoja na kwamba tulishapanga mpaka kuoana mitakuwa mwezi wa ngapi,nikapiga konde Nikakubali matokeo.
Wa tatu ndo huyu sasa tunaelekea kuachana baada ya miaka miwili naye.Maana kapata kazi nzuri in a private company na mkoa mwingine na kwa sababu she is graduate na alikuwa hana kazi ka accept qickly.
Sasa nijuavyo Kuna kila dalili za Kuachana huko mbeleni.
Kwa nini nasema hivi?Scenario zote za nyuma zilisababishwa na umbali.
Na Sababu kubwa ni kwamba pamoja na kwamba am not handsome,cku zote napenda wasichana wazuri.
Sasa wadau nifanyeje nioe nami?