Ninaekereka au Kuchoshwa na hili linaloendelea sasa katika Redio nyingi za Tanzania nipo peke yangu au?

Inshu ya kipindi kimoja kuwa na watangazaji wengi ilianzia clouds fm,na hawa majamaa vipindi vyao vilikuwa poa tu.

Tatzo limekuja kwa hz redio zingine zilizoiga utaratibu huo ndo wamefeli kabisa,imekuwa ni full makelele redion na story ziszokuwa na maana
 
Unakuta Kipindi fulani ni cha ama dakika 30 au Saa Moja tu lakini Watangazaji wake wote Watano wanataka Kuonesha Umahiri wao katika Kupiga Stori na hapo hapo tena Matangazo ya Biashara yanafululiza na Content husika iliyokufanya usikilize hicho Kipindi unakuja kuipata ndani ya dakika 5 tu.

Halafu namtafuta sana huyu Mtu aliyebuni kuwa kwa Siku hizi ili Redio yako ipendwe na Vipindi pia vivutie Wasikilizaji basi ni lazima kiwe na Watangazaji kuanzia Watano mpaka hata Saba tena wote wakiwa Hewani Wanabwabwaja tu Pumba zao.

Enyi Wamiliki na Watangazaji wa Redio na Vipindi mbalimbali vya nchini Tanzania Sisi Wasikilizaji wenu tunataka kusikia ' Content ' husika tu na siyo huu ' Upuuzi ' wenu wa kutupigia ' Mikelele ' ya Stori zenu zisizo na Miguu wala Kichwa kwani si tu mnaharibu bali mnatukera mno.

Kuhusu Upigaji wa Matangazo (ambayo najua ndiyo yanawalipeni sana) tafuteni utaratibu wa kuyapiga lakini siyo Kuyafululiza mpaka yanakula muda mrefu wa Kipindi na hatimaye 'Content' husika inakuja kusikika kwa dakika 5 pekee.

Halafu acheni Umbwiga (Ushamba) wenu yaani unakuta Tangazo la Biashara linapochezwa Hewani linajieleza vyema tu mwanzo mwisho kwa Sisi Wasikilizaji na likiisha tu utasikia Watangazaji wote waliojazana Studioni nao wanaanza tena Kulizungumzia. Hivi mliambiwa akina GENTAMYCINE ni Viziwi na hawakulisikia au Kulielewa?

Nina uhakika kuwa kwa Kero hii Kubwa kukifanyika Audience Research ya kuhusu Media za Tanzania na Contents zake ' Findings ' zitaonyesha kuwa Wasikilizaji wengi wamepungua na sasa tumekimbilia huku katika Mitandao ya Kijamii (JamiiForums) ambako binafsi kama GENTAMYCINE naona ' Kumenoga ' kuliko huko kwenye ' Upuuzi ' wenu.

Unaacha Kutangaza ' Content ' ya Kipindi unaanza Kutuambia Mambo yako ya Nyumbani na Mkeo pamoja na Wanao huku ' Ukijisifu ' tu Kipopoma (Kipumbavu) utadhani tumekuuliza.

Na wengine mlivyo Waongo mkiwa ' Vipindini ' huwa ' mnajimwambafai ' kweli kweli kuwa mna Maisha Bora wakati baadhi yenu ( kama si wengi wenu) tunawajua jinsi mlivyo Mafukara kama nilivyo Rais wa Mafukara JamiiForums GENTAMYCINE Mimi.

Ujumbe huu uzifikie 'Redio' zote nchini.
Kuna wa KISS FM asubuhi wanaosoma magazeti yaani wanakera mno...bla bla kibao kuna mmoja somebody Lupokela anapenda sn porojo halafu hana details sahihi ya mambo anayochangia yaani kama wapo kijiweni hivi wanapiga kelele tu
 
Ptiuuu yaani wamezubaa Hao radio one na RFA unakuwa kama unasikiliza dhifa ya kiserikal loooo hapana go on clouds utangazaji wao hauchushi nachukia limtamgazaji eti karibu ndugu msikilizaji wetu,Ndugu mtamgazaji swagg lazima ziwemo wajameni..
Hawa unawaonea Mkuu ' Uozo ' mkubwa uko Clouds FM, EFM, Magic FM na Wasafi FM.

Kidogo Radio One na RFA kuna Nidhamu na Kujielewa fulani ila siyo kwa hawa nniliowataj
 
Unakuta Kipindi fulani ni cha ama dakika 30 au Saa Moja tu lakini Watangazaji wake wote Watano wanataka Kuonesha Umahiri wao katika Kupiga Stori na hapo hapo tena Matangazo ya Biashara yanafululiza na Content husika iliyokufanya usikilize hicho Kipindi unakuja kuipata ndani ya dakika 5 tu.

Halafu namtafuta sana huyu Mtu aliyebuni kuwa kwa Siku hizi ili Redio yako ipendwe na Vipindi pia vivutie Wasikilizaji basi ni lazima kiwe na Watangazaji kuanzia Watano mpaka hata Saba tena wote wakiwa Hewani Wanabwabwaja tu Pumba zao.

Enyi Wamiliki na Watangazaji wa Redio na Vipindi mbalimbali vya nchini Tanzania Sisi Wasikilizaji wenu tunataka kusikia ' Content ' husika tu na siyo huu ' Upuuzi ' wenu wa kutupigia ' Mikelele ' ya Stori zenu zisizo na Miguu wala Kichwa kwani si tu mnaharibu bali mnatukera mno.

Kuhusu Upigaji wa Matangazo (ambayo najua ndiyo yanawalipeni sana) tafuteni utaratibu wa kuyapiga lakini siyo Kuyafululiza mpaka yanakula muda mrefu wa Kipindi na hatimaye 'Content' husika inakuja kusikika kwa dakika 5 pekee.

Halafu acheni Umbwiga (Ushamba) wenu yaani unakuta Tangazo la Biashara linapochezwa Hewani linajieleza vyema tu mwanzo mwisho kwa Sisi Wasikilizaji na likiisha tu utasikia Watangazaji wote waliojazana Studioni nao wanaanza tena Kulizungumzia. Hivi mliambiwa akina GENTAMYCINE ni Viziwi na hawakulisikia au Kulielewa?

Nina uhakika kuwa kwa Kero hii Kubwa kukifanyika Audience Research ya kuhusu Media za Tanzania na Contents zake ' Findings ' zitaonyesha kuwa Wasikilizaji wengi wamepungua na sasa tumekimbilia huku katika Mitandao ya Kijamii (JamiiForums) ambako binafsi kama GENTAMYCINE naona ' Kumenoga ' kuliko huko kwenye ' Upuuzi ' wenu.

Unaacha Kutangaza ' Content ' ya Kipindi unaanza Kutuambia Mambo yako ya Nyumbani na Mkeo pamoja na Wanao huku ' Ukijisifu ' tu Kipopoma (Kipumbavu) utadhani tumekuuliza.

Na wengine mlivyo Waongo mkiwa ' Vipindini ' huwa ' mnajimwambafai ' kweli kweli kuwa mna Maisha Bora wakati baadhi yenu ( kama si wengi wenu) tunawajua jinsi mlivyo Mafukara kama nilivyo Rais wa Mafukara JamiiForums GENTAMYCINE Mimi.

Ujumbe huu uzifikie 'Redio' zote nchini.
Viiivooo!! Love Vivoo love Tanzanja, " moja ya upuuzi huo!!
 
Unakuta Kipindi fulani ni cha ama dakika 30 au Saa Moja tu lakini Watangazaji wake wote Watano wanataka Kuonesha Umahiri wao katika Kupiga Stori na hapo hapo tena Matangazo ya Biashara yanafululiza na Content husika iliyokufanya usikilize hicho Kipindi unakuja kuipata ndani ya dakika 5 tu.

Halafu namtafuta sana huyu Mtu aliyebuni kuwa kwa Siku hizi ili Redio yako ipendwe na Vipindi pia vivutie Wasikilizaji basi ni lazima kiwe na Watangazaji kuanzia Watano mpaka hata Saba tena wote wakiwa Hewani Wanabwabwaja tu Pumba zao.

Enyi Wamiliki na Watangazaji wa Redio na Vipindi mbalimbali vya nchini Tanzania Sisi Wasikilizaji wenu tunataka kusikia ' Content ' husika tu na siyo huu ' Upuuzi ' wenu wa kutupigia ' Mikelele ' ya Stori zenu zisizo na Miguu wala Kichwa kwani si tu mnaharibu bali mnatukera mno.

Kuhusu Upigaji wa Matangazo (ambayo najua ndiyo yanawalipeni sana) tafuteni utaratibu wa kuyapiga lakini siyo Kuyafululiza mpaka yanakula muda mrefu wa Kipindi na hatimaye 'Content' husika inakuja kusikika kwa dakika 5 pekee.

Halafu acheni Umbwiga (Ushamba) wenu yaani unakuta Tangazo la Biashara linapochezwa Hewani linajieleza vyema tu mwanzo mwisho kwa Sisi Wasikilizaji na likiisha tu utasikia Watangazaji wote waliojazana Studioni nao wanaanza tena Kulizungumzia. Hivi mliambiwa akina GENTAMYCINE ni Viziwi na hawakulisikia au Kulielewa?

Nina uhakika kuwa kwa Kero hii Kubwa kukifanyika Audience Research ya kuhusu Media za Tanzania na Contents zake ' Findings ' zitaonyesha kuwa Wasikilizaji wengi wamepungua na sasa tumekimbilia huku katika Mitandao ya Kijamii (JamiiForums) ambako binafsi kama GENTAMYCINE naona ' Kumenoga ' kuliko huko kwenye ' Upuuzi ' wenu.

Unaacha Kutangaza ' Content ' ya Kipindi unaanza Kutuambia Mambo yako ya Nyumbani na Mkeo pamoja na Wanao huku ' Ukijisifu ' tu Kipopoma (Kipumbavu) utadhani tumekuuliza.

Na wengine mlivyo Waongo mkiwa ' Vipindini ' huwa ' mnajimwambafai ' kweli kweli kuwa mna Maisha Bora wakati baadhi yenu ( kama si wengi wenu) tunawajua jinsi mlivyo Mafukara kama nilivyo Rais wa Mafukara JamiiForums GENTAMYCINE Mimi.

Ujumbe huu uzifikie 'Redio' zote nchini.
Hili jambo hata mimi linanikera sana, nadhani hii walianzisha clouds kwy power breakfast na jahazi japo wao walikua wachache na walikua wanapishana kwa namna ambayo kila mmoja alikua na sehemu yake au segment yake maalum.

Tatizo ninalo liona ni kwamba hawa wenye radio wamekosa ubunifu na kupenda dezo kwa kucopy anachofanya mwingine na anayecopy bila aibu anajitaba yeye ni bora zaidi na sio wasikilizaji wasifie.

Sasahivi ndio umeibuka hiyo kwy vipindi vya michezo, kila mtu mchambuzi na anajua zaidi na wamerundikana kwelikweli kwy kipindi kimoja, huwa nasikiliza wakati mwingine 88.1 kipindi cha michezo jioni ili nimsikilize Tigana Lukinja, lkn kuna mtangazaji mmoja hapo yani anapendaga aongee yeye tu muda wote na akidaka mic atabwabwaja dkk 10 peke yake hadi wenzie wanamkatisha lkn unakuta bado ana ng'ang'ania

Pia kuna tatizo la kuona fikra au mitazamo yao ndio sahihi (hii zaidi ipo clouds). Wamekua wavivu unakuta mambo kwa mfano ya kanuni...badala ya kuchimba kuipata inasemaje au kutafuta wahusika...unakuta nao wanaishia kuacha maswali na wanajiuliza tu labda itakua hivi au vile badala ya wao kama chombo kutafuta habari sahihi

In short, hadhi ya utangazaji na watangazaji pamoja na vipindi imeshuka sana na kuna wakati unaweza kubadili stesheni 3 na ukashindwa kutofautisha ni radio tofauti unless wapige jingle ya radio yao.
 
Aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM katika kipindi cha Sport Extra, Mbwiga Mbwiguke ametambulishwa rasmi kuwa mtangazaji mpya wa kipindi cha The Score Board kinachorushwa na kituo cha radio cha Times FM "Sasa sina wasiwasi, sifanyi kazi usiku kama najenga daraja" sikuhizi uwandishi wa habari hausomewi tena, Mpoki nae ni mtangazaji Efm
 
Aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM katika kipindi cha Sport Extra, Mbwiga Mbwiguke ametambulishwa rasmi kuwa mtangazaji mpya wa kipindi cha The Score Board kinachorushwa na kituo cha radio cha Times FM "Sasa sina wasiwasi, sifanyi kazi usiku kama najenga daraja" sikuhizi uwandishi wa habari hausomewi tena, Mpoki nae ni mtangazaji Efm
Nimeshtushwa na Taarifa hii ya Mbwiga Mbwiguke kwani hakuna Mtu ambaye kila tukikutana nae Vijiweni Kwetu alikuwa akisema kuwa kwa Utu wa Shaffih Dauda aliyemuibua akiokota Chupa za Maji Chamazi na Wema wa Marehemu Ruge Mutahaba na Urafiki wake na MD Joseph Kusaga tokea wakisoma wote Shule ya Msingi Forodhani kamwe asingeweza kuhama CMG.

Kweli nimeamini 'Fedha' humbadili Mtu.
 
Mimi mara chache nawasikiliza, bora siku hizi kuna options kibao mitandaoni. Watu wanapiga stori kama wapo kijiweni then matangazo alafu wakianza kuongea tena wanaanza na matangazo

Pengine waandaaji wa vipindi ndio tatizo au waandaaji wanakosa vipaji vinavyojitosheleza. Hadi vipindi vya burudani unakuta team ya watu watano na madj si chini ya 2! Zamani mtu mmoja au wawili tu walikuwa wanaweza kukimbiza. Hii inampa mtu jukumu kubwa la ubunifu tofauti na sasa na huo mlundikano.
Umenikumbusha enzi za akina Abdallah Majura na kipindi chake cha Kipusa enzi hizooo
 
Tatizo kubwa la watangazaji wa sasa hatwajiandai wala kufanyia tafiti wanachokirusha hewani tofauti na watayarishaji vipindi na watangazaji wakongwe

Sikiliza kwa mfano vipindi vinavyotayarishwa na Masoud Masoud utaona jinsi anavyoiheshimu kazi yake na kuwaheshimu wasikilizaja wake. Masoud anatafiti content zake na kuziweka katika mpangilio wa kuelimisha na pia kuvutia

Watangazaji wa sasa anaweza akaongea hewani kitu asichokijua au hana uhakika nacho au ni cha uongo na akataka wote muamini anavyojua yeye!

Ni vyema kila Radio ikawa na timu ya wadhibiti ubora kuanzi kwenye lugha, uwasilishaji wa content mpaka nidhamu za presentation ili vipindi viwe both entertaing and educating
Masoud Masoud redio gani mkuu?
 
Mi nafikiri ni kuwaonea tu maana hizo vipindi ndio vinapendwa na hii ni ishara kwamba tatizo ni jamii ya kitanzania sio redio
Siyo kweli mkuu, angalia comments nyungu za huu uzi, watu hawapendi kabisa ila cha kufanya ndo hawana...
 
Inshu ya kipindi kimoja kuwa na watangazaji wengi ilianzia clouds fm,na hawa majamaa vipindi vyao vilikuwa poa tu.

Tatzo limekuja kwa hz redio zingine zilizoiga utaratibu huo ndo wamefeli kabisa,imekuwa ni full makelele redion na story ziszokuwa na maana
Mkuu hata huko Clouds kipindi kama power breakfast yule Barbra au Sam sasali wana kazi gani pale?? Ilitakiwa pale awe ni Kipanya na Siza basi, wengine wote ondoa kule....
 
Back
Top Bottom