Ninaapa kuwa mtumishi mwaminifu kwa chama cha mafisadi tu........

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173

Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa Ruvuma Bi. Aziza Luttala ,akimuapisha Diwani wa Kata ya Matimila kupitia Chama Cha Capinduzi(CCM), Bw. Menas Komba, juzi katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Songea Vijijini, baada ya diwani huyo kushinda kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika wiki iliyopita.
 
Huyo Hakimu Mkazi wa Mahakama ya mkoa naye anapoteza muda wake tu, Hayo magamba hata yakiapishwa ni kazi bure.
 
Kawaida wana shika vitabu vitakatifu wanapo apa, huyu ni mwizi mbona hajashika kitabu!
 
Back
Top Bottom