Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,806
Niunganishe kwenye goli lako kaka.. nakupa asilimia 60 ya faida. Mimi nachukua asilimia 40. Na kuna msingi wangu ntaongezea
Ataweza ndugu.....Sasa kwa akili hizo ataweza kazi za kukaa camp porini kuudumia wazungu wanaokuja kuwinda kwa miezi 6 bila kurudi nyumbani?
Hizi ni lugha za watu waliokuwa desperate na kutafuta kazi......btn the line hakuna mtu mwenye ofisi yake anayeweza kukuachia ofisi yake kwa kauli kama hizi......vijana wajifunze kujikuza kimawazo yenye uzalishaji na sio kuwa desperateNiunganishe kwenye goli lako kaka.. nakupa asilimia 60 ya faida. Mimi nachukua asilimia 40. Na kuna msingi wangu ntaongezea
Jamaa anapigisha watu kwata kizembe hapa 😀😀😀Ni kijiji gani Tanzania kiwe na lodge ukose chumba cha kupanga?
Ulidhani kazi ya kichwa ni kufugia nywele na kubeba meno tu?
Nimekumbuka mikumiMkuu umepata kazi wapi? Huko taja eneo wengine tuishakaa bush huko umeme unawaka kwa jenereta ikifika saa 6 usiku unazimwa..
Una utani wewe.Naona wengi wa watu wangu wa karibu wamenishauri hivi.mshahra take home ni around 850k
Yaani bushi sana utakuta huko chumba ni elfu 10 kwa mwezi na guest haizidi elfu 6.Kama ni mazingira ya bush basi huko ndio nafuu sana kwa uzoefu wangu mimi wa kutembelea hii nchi yetu.
Hapo ongea na mwenye guest umlipe kwa mwezi na atakufanyia nafuu sana hilo linawezekana kabisa vinginevyo ni wewe umezoea mambo ya mjini huko unayakosa ndio unaona hapakufai, ila kwa mshahara huo na mazingira hayo na wewe ni msela unanafasi nzuri sana ya kujipanga kimaisha kwa sasa.
Bila shaka hiyo sehemu ipo MleleKatavi huku,sehemu inaitwa inyonga
Umepajua anapofanya kazi? Gharama na masaa ya kazi? Uzito wa kazi yenyewe? Inawezekana ana logic?lChumba kizuri tu unapata kwa 50,000/= unapanda basi moja tu kwenda kazini, ila wewe unakaa lodge, hongera sana.
Mnatujazia uchafu tu hapa JF.
if this, achana nayo boss!Shitty manager/boss?
Kula tu per day ni 10k, usafiri mpaka ofisi ilipo kwenda na kurudi 3k.bado sijapata ghetto hivyo naishi Lodge,per day ni 12k.
Hahahahaha Arudi Kiagata pale Secondary apige chaki, au pale kiagata centre akauze supu ya mbuzi na kondoosasa mura shida nini. Uni hano nde ntana melemo halafu uwe ulatuna ghutigha ighasi
Hujafika alipopataja wewe,tena hiyo guest aliyotaja elf 12 ni nafuu mi nilienda lodge ilikuwa 15 na hakuna kupunguziwa na hakuna vyumba vya kupanga,huko inyonga paskie tu kuna sehem hata huwatumii simu wanatumiana barua na gari iko moja tu inaondoka asbh na kurud jion. Mtoa mada nimemwelewa sana sema avumilie tu atazoea.Yaani bushi sana utakuta huko chumba ni elfu 10 kwa mwezi na guest haizidi elfu 6.
Chai hii huyu anatunywesha
Exactly ni bush hatari kuna sehem hurusiwi kwenda na pikipiki mpaka gari hiyo sehem ina nyoka hatari nafikir ni hifadhi ya nyokaBila shaka hiyo sehemu ipo Mlele
Bush chumba vha classic ni 10. Cha kawaida ni 5elf au 3 ishi naoNyumba ndio changamoto,ni mazingira ya Bush kiaina
Mazingira ya hii kampuni tu hayajanivutia. Ni kazi ya mkataba wa mwaka mmoja(renewable). So naona siwezi kuendelea nao mbele.
Ndio kwanza nina week ya pili kazini ila nataka kuacha.
Mnanishaurije?
Ndio shughuli gani hiyo?Kumbe na wewe ni Mzee wa UPTZ!