jivatz1
Member
- Jan 22, 2015
- 85
- 9
Narudi kupiga winga Kariakoo, naona kupiga winga is better than kuwa hapa.
Baaaria nimekusoma kwa sauti kubwa sana na nimekuelewa … ajira waweza kulipwa 2million Tshs kwa mwezi , ila winga anaweza kubutu hadi 1million na zaidi kwa wiki , sasa bora uwe mwajuma au mwantumu kwenye kazi za kuajiriwa au bora uwe boss Winga una set mipango kokote ulipo pesa zina ingia tu.
Oyaaa huyu Mwamba ajenge sanamu POSTA! Staki maswali