MalumeNdago
Member
- Jan 8, 2018
- 28
- 16
Habari,
Mimi ni kijana nina idea ya kutengeneza app kwa soko la Tanzania na baadae inaweza kutanuka kwenye nchi za jirani. Ni idea ambayo tatizo lake bado watu hawajalitatua hivyo kuna uwezekano lika tick. Shida Kuu ni sijasoma mambo ya IT Na sina hela nyingi za kuweza ku finance project nzima?
Naomba ushauri nianzie wapi?
Mimi ni kijana nina idea ya kutengeneza app kwa soko la Tanzania na baadae inaweza kutanuka kwenye nchi za jirani. Ni idea ambayo tatizo lake bado watu hawajalitatua hivyo kuna uwezekano lika tick. Shida Kuu ni sijasoma mambo ya IT Na sina hela nyingi za kuweza ku finance project nzima?
Naomba ushauri nianzie wapi?