Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
nimepata wazo hilo kwa sababu karibia tanzania itaingia kwenye digital,hivo nikianzisha vipind hivo nitauza kwa channel za tanzania,na nchi nyingine za afrika mashariki baadae nitauza ata kwa channel za nje.
nitakuwa natoa zawadi za pesa nzuri tu kwa washindi,mnasemaje kwa ilo wazo langu
nitakuwa natoa zawadi za pesa nzuri tu kwa washindi,mnasemaje kwa ilo wazo langu