Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 365
Waungwana Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka kadhaa, elimu yangu darasa la saba mwaka 1998. Kijijini hukooo Isiman Iringa( v)
Nilikua mzuri Sana class Kijiji kinanijua kwa UBORA wangu sijuagi kwanini sikufaulu anyway hayo sio yaliyo nileta.
Nimekuwa mpambanaji kwa kufanya kazi za ndani house boy, kusaidia biashara za watu usimamizi, mpaka nikaamua kusoma udereva, 2004 nikaanza kuingia kwenye ajira 2006 kamadereva baada ya kusota hapo katkat.
Nimeishia kwenye ajira za mikataba kwa wahindi na wachina mpaka mwaka 2012 nikaboresha taaluma pale N. I. T kwa course ya p. s. V
Nmekuwa dereva mzuri Sana lakini kwakuwa ndoto zangu kuwa milionea na kusaidia jamii ya kitanzania nilikuwa nawaza kila siku kuwa mjasiliamali/biashara
Nashukuru hivi naongea na wewe Mimi ni mjasiliamali niliefanikiwa Sana kujenga uweledi kwenye kazi/biashara ninayofanya,,
Naanza kuona ndoto zangu naziendea za kuwa bilionea ninaeajiri vijana wenzangu... Maana tayari ninao 7 nimewaajiri...
MSAADA KAMILI.
NIMEISHI KWENYE JAMII HII YA KITANZANIA MAENEO TOFAUTI MIJINI/VIJIJINI MOJA YA MAMBO YANANISUMBUA NI WATU WENYE ELIMU YA DARASA LA SABA WANAONEKANA KAMA NIWATU WASIOWEZA CHOCHOTE, NIMEKUTANA NA VIJANA WA DARASA LASABA WAPO VIZURI SANA KIMTAZAMO ., UTAALAM FULAN, ELIMU YA JAMII, ELIM YA KISIASA, KIIAMAN, UFUND N. K LAKIN KITENDO CHA WAO KUWA STD 7 KINAWAFANYA WASHINDWE KUWA WATU WENYE THAMANI KUBWA... ACHANA NA AKINA KISHIMBA, MSUKUMA NA WENGINE WALE PESA NDIO ZIMEWASAIDIA KUKAA SEHEMU ZILE VINGINEVYO WASINGEWEZA.
NINA WAZO LA KUANZISHA CHAMA CHA WANADARASA LA SABA TANZANIA. CHAMA HIKI KITAJIKITA KWANZA KUSAJILI WANADARASA LASABA PEKEE WENYE UMAKINI, MTAZAMO CHANYA , UTAALAMU FULANI, KUJIAMINI, KUJIELEZA, WENYE KUJIFUNZA MAMBO MBALIMBALI KWA NJIA YA MTANDAO , WENYE NIA THABITI NA IMANI YA KUISHI MAISHA BORA NA KUSAIDIA JAMII N. K
PAMOJA NA MENGINE
LAKINI NAOMBA NIANZIE HAPA KULIPIMA WAZO LANGU
USHAURI TU NITAJIBU.
0714 045 080. Whatsup tu.
matendoandrew@gmail.com
ASANTE.
Nilikua mzuri Sana class Kijiji kinanijua kwa UBORA wangu sijuagi kwanini sikufaulu anyway hayo sio yaliyo nileta.
Nimekuwa mpambanaji kwa kufanya kazi za ndani house boy, kusaidia biashara za watu usimamizi, mpaka nikaamua kusoma udereva, 2004 nikaanza kuingia kwenye ajira 2006 kamadereva baada ya kusota hapo katkat.
Nimeishia kwenye ajira za mikataba kwa wahindi na wachina mpaka mwaka 2012 nikaboresha taaluma pale N. I. T kwa course ya p. s. V
Nmekuwa dereva mzuri Sana lakini kwakuwa ndoto zangu kuwa milionea na kusaidia jamii ya kitanzania nilikuwa nawaza kila siku kuwa mjasiliamali/biashara
Nashukuru hivi naongea na wewe Mimi ni mjasiliamali niliefanikiwa Sana kujenga uweledi kwenye kazi/biashara ninayofanya,,
Naanza kuona ndoto zangu naziendea za kuwa bilionea ninaeajiri vijana wenzangu... Maana tayari ninao 7 nimewaajiri...
MSAADA KAMILI.
NIMEISHI KWENYE JAMII HII YA KITANZANIA MAENEO TOFAUTI MIJINI/VIJIJINI MOJA YA MAMBO YANANISUMBUA NI WATU WENYE ELIMU YA DARASA LA SABA WANAONEKANA KAMA NIWATU WASIOWEZA CHOCHOTE, NIMEKUTANA NA VIJANA WA DARASA LASABA WAPO VIZURI SANA KIMTAZAMO ., UTAALAM FULAN, ELIMU YA JAMII, ELIM YA KISIASA, KIIAMAN, UFUND N. K LAKIN KITENDO CHA WAO KUWA STD 7 KINAWAFANYA WASHINDWE KUWA WATU WENYE THAMANI KUBWA... ACHANA NA AKINA KISHIMBA, MSUKUMA NA WENGINE WALE PESA NDIO ZIMEWASAIDIA KUKAA SEHEMU ZILE VINGINEVYO WASINGEWEZA.
NINA WAZO LA KUANZISHA CHAMA CHA WANADARASA LA SABA TANZANIA. CHAMA HIKI KITAJIKITA KWANZA KUSAJILI WANADARASA LASABA PEKEE WENYE UMAKINI, MTAZAMO CHANYA , UTAALAMU FULANI, KUJIAMINI, KUJIELEZA, WENYE KUJIFUNZA MAMBO MBALIMBALI KWA NJIA YA MTANDAO , WENYE NIA THABITI NA IMANI YA KUISHI MAISHA BORA NA KUSAIDIA JAMII N. K
PAMOJA NA MENGINE
LAKINI NAOMBA NIANZIE HAPA KULIPIMA WAZO LANGU
USHAURI TU NITAJIBU.
0714 045 080. Whatsup tu.
matendoandrew@gmail.com
ASANTE.