Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Hawa watu ni balaa, wanamshambulia D.Trump ktk kila kona, mpaka sasa hivi wamejaribu kila kitu kumshitaki wamuondoe kwenye Uraisi wameshindwa, sasa kilichobakia watamtungua tu, Wazungu
ni evil people, watamuua D.Trump.
Mungu mlinde D.Trump, Trump ni mtu wa peace tangia ameingia hakuna vita, isis imeisha, boko haram hakuna, Vita Ethiopia- Eritrea imekwisha na wamepatana, hata Somalia Al -shabaab imepungua kama siyo kuisha, hata Stiegler Gorge yetu tutajenga hakuna wakutuingilia, Trump hataki na amekataa Siasa za kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, ...
ni evil people, watamuua D.Trump.
Mungu mlinde D.Trump, Trump ni mtu wa peace tangia ameingia hakuna vita, isis imeisha, boko haram hakuna, Vita Ethiopia- Eritrea imekwisha na wamepatana, hata Somalia Al -shabaab imepungua kama siyo kuisha, hata Stiegler Gorge yetu tutajenga hakuna wakutuingilia, Trump hataki na amekataa Siasa za kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, ...