Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sikuelewi unachotaka
kusema kwamba sababu imetokea huko kwenu kuna mama mwenye watoto 3 na
DNA inasema sio wa huyo jamaa ndio kipimo cha kusema DNA ina hitilafu au
hatuna wataalamu wazuri?..mim nlifikiri mmefanya vipimo kwingine
mkafalsefy majibu yaa awali...hao ni wa huyo jamaa kwa mrengo wa kijamii
but he is not a biological father.
Ndoa zimevurugika sana,huku kwetu wanawake watatu wamefukuzwa sababu dna imesema watoto siyo wa hao jamaa, mama mmoja alikuwa na watoto watatu wote dna imesema siyo wa huyo jamaa,kama siyo mashine basi wataalamu tulionao hawawezi kuitumia vizuri.
Hili nalo linawezekana sana hapa bongo. Naamini katika huko kupima DNA huwa wanaliangalia na hili. Najiuliza tu kama ikitokea wote sio mtoto wenu inakuwaje?.....unaweza kuta hata baadhi ya wamama watoto siyo wao (kubadilishiwa mtoto wakati wa kuzaliwa inawezekana hilo, hasa kwa hawa manesi wetu wasio na motisha wanaweza jichangana tu), ...