Nina wasiwasi mtoto si wangu. Nitawezaje kuhakikisha?

Labda nikuulize swali ambalo nawe ujiulize mwenyewe, kwanini akusingizie wewe? Una mali nyingi sana hapo ulipo kwamba anataka utajiri wako? Kama jibu ni hapana basi stand up and grow bro. Kuwa mwanaume anaejiamini, mtunze mama na mtunze mtoto.
Hapa kuna sababu nying za kusingiziwa ujauzito(mtoto) mda mwingne wanaume tunashikishwa watoto ambao sio wetu kwa sababu wanawake wanaitaji kuficha aibu zao
 
Unajua process za kupima DNA? Tanzania hupewi majibu ya ukweli utapewa fake tu, kupunguza idadi ya watoto wasio na baba, aende Sou

Unajua process za kupima DNA? Tanzania hupewi majibu ya ukweli utapewa fake tu, kupunguza idadi ya watoto wasio na baba, aende South Africa au Nairobi
Ni bora mimi nilee mtoto ambae nina uhakika kabisa sio wangu ila nafanya kumsaidia kama mzazi kuliko kulea mtoto kwa wasiwasi
 
Naweza kusema kweli huwa nina mapenzi ya kweli katika mahusiano, nasema hivi maana huwa nikimpenda mwanamke katika mahusiano basi huwa namaanisha ila shida huja pale ambapo nahisi nimepata mwanamke tofauti na matarajio yangu.

Nasema hivi maana asilimia kubwa ya vile vigezo vya ndani kabisa unakuta hana japo huwa najitahidi sana kumweka arudi kwenye mstari vile ninavyotaka mimi mwanamke wangu awe lakini atatulia ila baada ya siku nne/tano anarudia mambo yaleyale nisiyoyapenda.

Hali hiyo ilienda mpaka akaja kubeba ujauzito, nilihisi kuwa ni yangu lakini shida ni WASIWASI je ni ujauzito wangu au laa! Mpaka amekuja kujifungua mimi nahudumia mtoto na mama lakini tatizo ni wasi wasi je ni mtoto wangu au laa!

Kuna kipindi alikuwa anaishi kwa shemeji yake sasa nahisi usikute kuna namna ilifanyika halafu nije kubambikiwa. Msaada ndugu zanguni nitawezaje kujua kama mtoto ni wangu au sio wangu pasipo kutumia vipimo vya DNA?

Mwanamke nampenda ila nina wasi wasi kwani ni mwongo mwongo sana wakati mwingine na mtoto bado ni mdogo sana hata miezi mitatu hajafikisha hivyo inaniwia vigumu kujua amefanana na nani hasa.

Inawezekana huyu mwanamke alizaa na shemeji yake au ni nini maana sasa hivi yule shemeji yake hana mawasiliano kabisa na yeye tofauti na mwanzoni ilivyokuwa wamezoeana.

Nitajuaje kama mtoto ni wangu pasipo vipimo vya hospitali?

Msaada jamani nateseka nafsini mwangu.

Wewe lea tu. Ndiyo busara . Watu wengi wanalea watoto wasio wa kwao na maisha yanasonga. Ukitaka kumchunguza mwanamke utapasuka kichwa
 
Kuna Mkuu mmoja humu ndani alisema,

"Chukua uume wako, mchape nao mtoto kwenye kichwa"

Kama mtoto atafariki, ujue si wako. Akipona ni damu yako.

Ila sijakuambia ukafanye hivyo.
 
Jichange kila mwezi weka 50000 kwenye account maalum baada ya mwaka utakuwa na laki tano na inatosha kabisa kupima DNA
hiyo hela wengi wanayo na wana hasira za kubambikiwa lakin si rahis hivyo kwa sheria zetu za kusitiri wanawake wadanganyifu. unaweza kukataliwa na pesa mkonon kama huna sabab shawishi. angalizo ni kuwa stress za kujua ni kubwa kuliko ya kutokujua!
 
Sidhani kama kuna ukweli asilimia 100 kutazama vigaanja vya mikono.. Labda mi mgeni sijui lakini....
ila nnachojua,damu yako/yenu ukikutana nayo kuna uhusiano wa kihisia tu,lazima moyo utashtuka kidogo au kuumia kama ni damu yako..... ila ukiona huhisi chochote,yaani roho /mwili wa baridii ujue umepigwa
 
Sidhani kama kuna ukweli asilimia 100 kutazama vigaanja vya mikono.. Labda mi mgeni sijui lakini....
ila nnachojua,damu yako/yenu ukikutana nayo kuna uhusiano wa kihisia tu,lazima moyo utashtuka kidogo au kuumia kama ni damu yako..... ila ukiona huhisi chochote,yaani roho /mwili wa baridii ujue umepigwa
Uko sawa trust your guts,na ukifanya maamuzi usirudi nyuma.Ukimwona tu mtoto kama ni wako utahisi chemistry yenu inaendana yaani hata ukimchekea anafurahi,hata ukiongea nae anatulia kukusikia ila ukiona mtoto ukimsogelea analia hahahah sio wako huyo
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom