Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,006
- 173,649
Huwezi kufa kwa kutazama kitu. Haijawahi kudhibitishwa popote kisayansiMkuu we unataka mwenzio afe!!teh teh.
Huwezi kufa kwa kutazama kitu. Haijawahi kudhibitishwa popote kisayansiMkuu we unataka mwenzio afe!!teh teh.
Mhhh! au ana mshono anaogopa ukiuonaNi zaidi ya miezi nane sasa nipo kwenye mahusiano na mpenzi wangu ambapo kitabia sina mashaka nae ingawa ni ngumu kumuamini mtoto wa kike kwa asilimia 100% sababu wametawaliwa na tamaa ila mwenendo wake haunipi mashaka sababu mambo mengi huwa ananiweka wazi hivyo hanipi mashaka.
Tatizo linakuja kwamba tangu nimeanza mahusiano na huyu binti sijawahi kuliona tumbo lake sababu hata nikiwa nasex nae huwa anajifunika sehemu ya tumboni na nikimuuliza kwanini hapendi nione tumbo lake ananiambia kwamba kuna dawa amechanjwa na wazazi wake hivyo endapo nitafanikiwa kuona hizo chale ambazo amechanjwa basi nitapata matatizo.
Hali hii imekua ikinitisha kwakweli mpaka kuna wakati nawaza kwamba niachane nae mana nashindwa kujua ataendelea kunificha hivi mpaka lini na nahisi kama anapata tabu mana kila tukikutana lazima ajifunike kama sio na kanga basi taulo.
Kuna mdau yeyote humu amewahi kukutana na hali kama ninayokutana nayo mimi ?
Naombeni ushauri wadau mana nipo njia panda ingawa nampenda huyu binti
Duh, kama ni mshoni, sa ataficha hadi lini. Nahisi itakuwa ni zaidi ya hilo, labda aliwahi kuungua na moto so hapendi mtu apaone na kama akipaona basi anahofia atamuachanadhani anakuficha huyo, ana mtoto na anaficha kovu la operation.
Ni sawaJarib kuwauliza ndugu zake wa karib kujua ukweli. Kuna kitu anakuficha..
na yeye apige mzigo vizuri manzi atalegea then amfunue tumbo mamba hadharaniAta
kuwa wa jijini huyu............! just joking. Huenda akawa na kovu la operation kama wengine wanavyosema au kovu lilitotokana na jeraha lolote na hapendi ulione. Kuna mmoja alikuwa anashida kwenye maziwa na siku zote alikuwa analala na sindiria,siku alipovuliwa baada ya kulegea ndo likaonekana
tatizo hapigi show za kibabe wenzie wanahongwa mpaka meli yeye kufunuliwa tumbo ni zoezi gumu....inasikitishaHaha mkuu ataletaje mrejesho huku atakua keshakufa hahaha.. huyo anamficha mshono wa operation huyo siku zote ukweli humuweka mtu huru..
cc Smart911