Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Nimejaribu kukaa na kutafakari ivi haya mambo naona hayangii akili kama ni kweli au si kweli ila ninachoona kuna watu wanacheza akiri zetu je watu wenyewe ni akina nani...........
Ukiliangalia hili jambo kwa umakini utaona kama vile kuna watu walikaa chini wakapanga tufanye hivi tufanye vile ili tuone watu wanasemaje alafu mcxiibah yeye awe kama mchokoza mada alafu sisi tuwe kama watuhumiwa tuanze kumtuhumu huyu baba anatuchafua kumbe mchezo tunaucheza sisi wenyewe
Kwa akili ya kawaida hebu tujiulize tuhuma zote alizozitoa mxiibah kama zingekuwa kweli ivi Leo hawa jamaa si wangekuwa wameshafukuzwa uanachama au tungeshaona watu wamehama wameamia upande wa pili chama kingine cha pili lakini bana haya mambo jinsi yanavyokwenda Mara watu wameandika walaka, Mara watu sijui wamedukuliwa, Mara ivi Mara vile mapicha pichaa ninayaona
Mimi upande wangu huu mchezo ninauona kabisa tunachezewa tuu akiri hapaaa nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama haya mambo ni kweli ila Mimi upande wangu naona yakutengenezwa
Ukiliangalia hili jambo kwa umakini utaona kama vile kuna watu walikaa chini wakapanga tufanye hivi tufanye vile ili tuone watu wanasemaje alafu mcxiibah yeye awe kama mchokoza mada alafu sisi tuwe kama watuhumiwa tuanze kumtuhumu huyu baba anatuchafua kumbe mchezo tunaucheza sisi wenyewe
Kwa akili ya kawaida hebu tujiulize tuhuma zote alizozitoa mxiibah kama zingekuwa kweli ivi Leo hawa jamaa si wangekuwa wameshafukuzwa uanachama au tungeshaona watu wamehama wameamia upande wa pili chama kingine cha pili lakini bana haya mambo jinsi yanavyokwenda Mara watu wameandika walaka, Mara watu sijui wamedukuliwa, Mara ivi Mara vile mapicha pichaa ninayaona
Mimi upande wangu huu mchezo ninauona kabisa tunachezewa tuu akiri hapaaa nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama haya mambo ni kweli ila Mimi upande wangu naona yakutengenezwa