Nina wasiwasi 99% kuwa Diamond na Zari wanatudanganya

Secret Star

JF-Expert Member
Jul 1, 2011
1,708
1,553
Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari. Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!

Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!

Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mume wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!

Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.

Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
fd6bc6492cca00ae38efb1a43a0a06bc.jpg
 

Attachments

  • Mdhamini+mbagala+20170125_133051.jpg
    Mdhamini+mbagala+20170125_133051.jpg
    15.6 KB · Views: 236
Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari.
Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!

Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mke wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!

Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.

Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
Ukishajua itakusaidia nini? Hivi unapofuatilia mambo ya watu,wakati huo mambo yako hufanywa na nani?
 
Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari.
Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!

Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mke wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!

Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.

Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
Hewa wewe.
 
Back
Top Bottom