Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,705
Mimi ni kijana niaeishi Dar es salaam,Yaah unaweza ukasema n mtu mzima maana niko kwene 80s!!…Nimeajiriwa sehemu kadhaa lakini kwa sasa nimeacha kazi!!
Kwa kifupi sipendi kufanya kazi kwa mtu au institution naona tabu sana habar za kupangiwa,kutumikia mtu, formality,kugombezwa au vile visa vya makazini!!Kifupi napenda kupata shuhuli yangu ambayo inauhuru wa mm ndiye niwe muamuzi!! Kumsujudia boss siwezi yaan hapo tutasumbuana!!
Changamoto ni kua sijui biashara ambayo ndio ingekua inanifit kwa ninachotaka!!
Baada ya kuwaza kwa miezi kadhaa nilikuja na option ya kufanya biashara mtandaoni ambapo ilikua either Youtube au Blog!!
Youtube niliiweka pembeni kwasababu naona kama kuna changamoto fulani hivi kutengeneza video,kuedit,had kua attract viewers!!
Cha pili sielewi youtuber anaeingiza hela nyingi tanzania analipwa sh ngap ili niweze kuona nn anafanya tofauti na pesa inatoka hasa kwene nn viewers wengi au viewers wa wastan targeted,au aina ya topic!!
so nikaingia kwene Blogging!! …Weee!! Lahaulaaaah
Nilichokipata huku n kasheshe maana saa izi niko kwene viewer 300 tu na ni mwezi wa pili!!
Najaribu kushare magrup mengi mengi lakini watanzania kuview vitu serious hawawezi au kunakua na low trafic!!
Plan zangu nilifikiri nipige had miezi mitatu nianze kumonetise lakini naona hali si hali!!
Nimejalibu kufuatilia bloggers wengi wanaotengeneza hela n wale watu /kampunibza habar kama jf,habarleo,nk ambao kifupi wamewekeza hela nyingi
Je kuacha kazi na kujiajiri kama blogger au katka blogging kunaweza kukusaidia kukidhi kipato au ni bora nitafute kazi!!?
Kama kuna mifano halisi mnishauri niifuate nisije potea hasa ukizingatia kunakutumia resources kama muda,fedha na bundle