miriam 111
Senior Member
- Aug 25, 2018
- 100
- 77
Wakuu Poleni na majukumu
Mimi ni binti wa miaka 24, naishi Tabata Dar es Salaam. Nimehitimu kidato cha nne mwaka 2013, ila kutokana na sababu za kiuchumi nlishindwa kwenda chuo.
Baadaye nilifanikiwa kusoma computer. Najua kuongea na kuandika Kiingereza na Kiswahili. Najua kutumia NMB na Equity wakala machine, pia Max Malipo
Nina uzoefu wa kazi ya secretary na pia nilishawahi kufanya kazi kama cashier katika kampuni moja hapa mjini.
Naomba kwa yeyote anaeweza kunisaidia ani PM huko nitampa mawasiliano yangu.
Ahsante, nawatakia siku njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni binti wa miaka 24, naishi Tabata Dar es Salaam. Nimehitimu kidato cha nne mwaka 2013, ila kutokana na sababu za kiuchumi nlishindwa kwenda chuo.
Baadaye nilifanikiwa kusoma computer. Najua kuongea na kuandika Kiingereza na Kiswahili. Najua kutumia NMB na Equity wakala machine, pia Max Malipo
Nina uzoefu wa kazi ya secretary na pia nilishawahi kufanya kazi kama cashier katika kampuni moja hapa mjini.
Naomba kwa yeyote anaeweza kunisaidia ani PM huko nitampa mawasiliano yangu.
Ahsante, nawatakia siku njema.
Sent using Jamii Forums mobile app