Nina ushawishi, [hakuna sababu ya kuajiriwa]

kama kila m2 ataamua kujiajiri nani atamfanyia kazi mwenzie mfano je bakheresa anauwezo wa kufanya kila ki2 mwenyewe?je wewe katika biashara yako utamudu kila k2 huhitaji msaada?

Ya haiwezekani Kuajiriwa wote Nchi za ASIA ZINAFILIKIWAKUWA MOJA YA NCHI ZENYE ENTREPRENERSHIP SPIRT KUBWA SANA bu still kuna wafanyakazi wakufa mtu na wameajiriwa na wajasirimali, NI kwamba ni lazima tuoneuchungu kwa vijana wengi sana walioko mtaani na tuone kama ni jukumu letu sisikudevelop Aidia ambazo zitatufanya tuwaajiri wale vijana

- Hii ni nchi yetu hatuwezi endelea katika kiwangi kikubwa sana chaGraduate kuwaza kuajiriwa tu, Fanya Utafiti nenda Chuo chochote hapa TZ wahojiwanavyuo nini matarajio yao, Mkuu bila shaka asilimia 99.06% watakuwa namatarajio ya kuajiriwa tu ana vyuo vingine unaweza kukuta ni 100% mkuu hii nihatari sana yena mno wakati nchi kama INDIA unaweza kukuta chuo kina asilimia40% had 60 ya vijana wanatarajia kujiajiri na inategemea na chuo kuna baadhi yavyuo huenda hadi 80%

NI LAZIMA TUBADILIKE ILI BASI HARA ROBO WANAENDA KUWA WAJASIRIMALI NAWANAOBAKIA WAWE WAAJIRIWA

 
Kamanda uliyoyasema ni ya kweli tupu, lakini nami ninaona ni busara nikiongezea kitu ili kuboresha. Kwanza niseme kwamba, nami niliwahi kufanya utafiti (usio rasmi) kama huu na nilichogundua kinashangaza kidogo.

Kama mapato kwa mwezi ni Tsh. 500,000/=. Halafu matumizi kwa mwezi ni Tsh. 700,000/= bila kujumlisha mavazi, home appliances, maintanance, healthcare, msaada kwa ndugu na socialisation (Tsh: 200,000/=--marejesho, 150,000/= --- rent, 100,000/=---fuel consumption, 150,000/= chakula, 30,000/= -- umeme, 5000/=-- maji, 70,000/= --airtime + internet) huyu mtu atafanikiwa vipi? Na hapo hakuna savings kabisa amabo ndio msingi wa kuwekeza!!?
First of all huyu mtu anaishi vipi kwa matumizi yanayozidi kipato chake halisi? Na hapo hatujazungumzia kama mtu ana familia!

Jibu la haraka na ndivyo utafiti wangu ulivyoonyesha ni kwamba watanzania wengi ni wezi na wanapokea rushwa, wao wanasema wanapiga deal. Na wale wachache ambao ni waaminifu na wazalendo (wasioiba wala kupokea rushwa) wana miradi modogo midogo majumbani mwao

Jamani tubadilike, najua hatuwezi kujiajiri wote kama ambavyo hatuwezi kuajiriwa wote basi wale walioajiriwa wawe corporate entrapreneurs sio kufanya kazi ili mradi liende, na wale waajiri (business & social entrepreneurs) basi watoe kipaumbele kwenye maslahi ya wafanyakazi wao ili tuwe na mfumo wa win win

mkuu ukweli nikua hatuendi bila dili TUNASHI KIMJINIMJINI!
 
ulichoandika kina ukweli kwa 100%; lakini sikusoma uchumi ila fomula hii imenisaidia sana

income (i) = consumption (c) + savings (s)

savings = investment

kwa hiyo kuwa mjasiriamali wa kweli budi kwanza uajiriwe, ujiwekee akiba then utumie akiba kama mtaji wa kuanzia. Hizo biashara za chips zinawafaa wale tuliowaacha mitaani tulipomaliza std vii.




hapo penye nyekundu ndo panopofanya sisi tufail
 
hapo penye nyekundu ndo panopofanya sisi tufail
Kweli kabisa, hilo tatizo kubwa kuliiko yote ya wanaojiiita wamesoma... Hivi hatuna wivu wa maendeleo, inamaana uinaridhika na kipato cha laki saba kwa mwezi chenye makato na misaada isiyoisha kwenye hizi extended families zetu eti kisa biashara fulani ni za walioishia std7???
Hebu piteni lumumba na posta usiku muone wahindi wanavyouza hadi kuku 100 kwa usiku mmoja (sekela+chips) na nusu kuku na chips yenye chachandu za kuhindi ni elf 6, sahani ya mishkaki elf 4, na nyama yenyewe hata robo kilo haifiki... Halaf mnabaki ooh kazi fulani ni za kina fulani...
And trust me, ukiishaingia kwenye duara la mikopo, utajikuta unazeeka nayo, unakopa hukui ukalipe kule kisa nina security ya mshahara... Haahaha.
Hatumaanishi wote mjiajiri, kani taifa linahitaji wafanyakazi, lakini ili maendeleo yaje kwa kasi na mapato ya kodi yaongezeke, inabidi vijana wawe wabunifui zaidi na zaidi.
 
@By ndachuwa;

chips zinawafaa wale tuliowaacha mitaani tulipomaliza std vii.

Ni kweli Chips zawafaa hao wa STD VII, but what if ukamuajiri wa standard VII with very small investment then ukaweza kutengeneza 600,000 per months? dont you think is better kuliko? kama ukiwa na vijana wa 3 mfano ukapata post nzuri tatu na kila post ikakupa minimum ya 300,000 per month?

 
kweli kabisa, hilo tatizo kubwa kuliiko yote ya wanaojiiita wamesoma... Hivi hatuna wivu wa maendeleo, inamaana uinaridhika na kipato cha laki saba kwa mwezi chenye makato na misaada isiyoisha kwenye hizi extended families zetu eti kisa biashara fulani ni za walioishia std7???
Hebu piteni lumumba na posta usiku muone wahindi wanavyouza hadi kuku 100 kwa usiku mmoja (sekela+chips) na nusu kuku na chips yenye chachandu za kuhindi ni elf 6, sahani ya mishkaki elf 4, na nyama yenyewe hata robo kilo haifiki... Halaf mnabaki ooh kazi fulani ni za kina fulani...
And trust me, ukiishaingia kwenye duara la mikopo, utajikuta unazeeka nayo, unakopa hukui ukalipe kule kisa nina security ya mshahara... Haahaha.
Hatumaanishi wote mjiajiri, kani taifa linahitaji wafanyakazi, lakini ili maendeleo yaje kwa kasi na mapato ya kodi yaongezeke, inabidi vijana wawe wabunifui zaidi na zaidi.
mkuu nakuunga mkono kwa hilo,
serikali inatakiwa itoe mazingira mazuri ya vijana kujiajili na vijana lazima tuwe na moyo wakujiajili!
 

Kwa hiyo kuwa mjasiriamali wa kweli budi kwanza uajiriwe, ujiwekee akiba then utumie akiba kama mtaji wa kuanzia. Hizo biashara za chips zinawafaa wale tuliowaacha mitaani tulipomaliza Std VII.
ujasiriamali ni ubunifu si lazima uanze kuajiriwa.. unaweza kupata mtaji kupitia ubunifu wako eg unaweza ukaanza kufuga kuku 10, nguruwe majike wawili etc. msome tena Entrepreneur amekwambia ukweli mtupu kwa huo mfano wa mtu anayeoverspend 200,000/=, sasa mtaji hapo utaupata kwa saving gani?

biashara za chips: hii ni kasumba na umbumbumbu wa hali ya juu na wengine huwa wanaita akili mgando. Unafikiri McDonalds, KFC, NANDO'S, steers wangekuwa na mawazo kama yako leo hii wangekuwa wapi? Tunaangalia ni wapi tunaweza kutengeneza profit kubwa na kwa muda mfupi, hatuangalii kazi za starehe za kuwafuraisha watu, Kuna makampuni ya wasomi yenye majina makubwa kibao hapo dar lakini profit yao kwa mwaka mkulima/mfugaji narubongo amewatupa mbali sana
 
ujasiriamali ni ubunifu si lazima uanze kuajiriwa.. unaweza kupata mtaji kupitia ubunifu wako eg unaweza ukaanza kufuga kuku 10, nguruwe majike wawili etc. msome tena Entrepreneur amekwambia ukweli mtupu kwa huo mfano wa mtu anayeoverspend 200,000/=, sasa mtaji hapo utaupata kwa saving gani?

biashara za chips: hii ni kasumba na umbumbumbu wa hali ya juu na wengine huwa wanaita akili mgando. Unafikiri McDonalds, KFC, NANDO'S, steers wangekuwa na mawazo kama yako leo hii wangekuwa wapi? Tunaangalia ni wapi tunaweza kutengeneza profit kubwa na kwa muda mfupi, hatuangalii kazi za starehe za kuwafuraisha watu, Kuna makampuni ya wasomi yenye majina makubwa kibao hapo dar lakini profit yao kwa mwaka mkulima/mfugaji narubongo amewatupa mbali sana


Mkuu hapo kwenye RED, nazani hapo ndo big mistake tunayofanywa Watanzania wengi, tunaingia kwenye biashara, tunaanzisha biasharatukitageti profit tu, Mkuu huwezi fika mbali endapo utaaingia kwenye biasharakwa kutageti faida ya fasta.

Tanzania kuna watu huvumbua vitu vizuri sana kama majiko, viatamishi nakazalika, Tatizo lao linakuwa wao hawaangalii feature ya uvumbuzi wao, waowanatageti faida. mtu anagundua Kiatamishi anakipeleka sokoni kesho yake kuuza,

Wakina HENRY FOED NA WENGINEO WANGETAGET FAIDA YA FASTA NAZANI LEO HIIHATA HAYO MAGARI YASINGEKUWEPO,

Na watanzania wengi Hatupendi kuwekeza kwenye miradi ya muda mrefuambayo ndo miradi yenye tija tunawekeza kwenye miradi ya umeanza leo keshokutwa tiyali umeanza kumeki pesa ya kufa mtu, mara nyingi miradi ya aiba hiisio endelevu hata kidogo,

NI LAZIMA TUINGIE KWENYE BIASHARA UKIANGALIA FEATURE YAKO, UNATAKA UWEWAPI? NA UFANYEJE NA JE HATA UKIFA LEO UTAKUMBUKWA VIPI? WAKINA HONDA NA HERYFORD HADI LEO HII WANAKUMBUKWA KAMA WATU WALIO LETA MAPINDUZI MAKUBWA SANA

JE WEWE UNAINGIA KWENYE UJASIRIMALI UTAKUMBUKWA VIPI? UNATAKAKULIFANYIA NINI TAIFA HILI? AU UNATAKA KUINGIA KWENYE UJASIRIMALI ILI UNUNUE V8NA KAZALIKA? MAKE NDO NDOTO ZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA

 
Mkuu hapo kwenye RED, nazani hapo ndo big mistake tunayofanywa Watanzania wengi, tunaingia kwenye biashara, tunaanzisha biasharatukitageti profit tu, Mkuu huwezi fika mbali endapo utaaingia kwenye biasharakwa kutageti faida ya fasta.

Tanzania kuna watu huvumbua vitu vizuri sana kama majiko, viatamishi nakazalika, Tatizo lao linakuwa wao hawaangalii feature ya uvumbuzi wao, waowanatageti faida. mtu anagundua Kiatamishi anakipeleka sokoni kesho yake kuuza,

Wakina HENRY FOED NA WENGINEO WANGETAGET FAIDA YA FASTA NAZANI LEO HIIHATA HAYO MAGARI YASINGEKUWEPO,

Na watanzania wengi Hatupendi kuwekeza kwenye miradi ya muda mrefuambayo ndo miradi yenye tija tunawekeza kwenye miradi ya umeanza leo keshokutwa tiyali umeanza kumeki pesa ya kufa mtu, mara nyingi miradi ya aiba hiisio endelevu hata kidogo,

NI LAZIMA TUINGIE KWENYE BIASHARA UKIANGALIA FEATURE YAKO, UNATAKA UWEWAPI? NA UFANYEJE NA JE HATA UKIFA LEO UTAKUMBUKWA VIPI? WAKINA HONDA NA HERYFORD HADI LEO HII WANAKUMBUKWA KAMA WATU WALIO LETA MAPINDUZI MAKUBWA SANA

JE WEWE UNAINGIA KWENYE UJASIRIMALI UTAKUMBUKWA VIPI? UNATAKAKULIFANYIA NINI TAIFA HILI? AU UNATAKA KUINGIA KWENYE UJASIRIMALI ILI UNUNUE V8NA KAZALIKA? MAKE NDO NDOTO ZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA


"Tunaangalia ni wapi tunaweza kutengeneza profit kubwa na kwa muda mfupi". Mkuu hapa nilibase kwenye fani yangu kitaaluma ambapo project ya miaka 0-12 ni "short", miaka 12-25 ni "medium" na miaka 25- kwenda juu ni "long term project"
Hao akina Henry na Honda nadhani unafahamu kwamba R&D budget kwa nchi zao kila mwaka ni zaidi ya budget nzima ya tz. Na pia nchi zao zinatoa financial aid kuwasupport kwenye research zao. Hapa TZ sijawahi kusikia budget ya R&D zaidi ya kuona donors wakisupport tafiti za malaria.
Mimi sihitaji kukumbukwa mkuu.... naendelea kupalilia shamba la maisha bora kwa kila mwanafamilia
 
Sasa kama hutaki tuajiliwe please weka bussiness plan ambazo unaona vijana kama sisi zitatufaa tujiajiri na sio hadidhi hadithi za Sungura na Fisi

Unamawazo mgando wewe.
You have to think out of the box.
 
Mkuu hayo ni mawazo yanayovutia kusikiliza "KUJIAJIRI" ni ngumu kuliko unavyotaka watu waone ni rahisi trust me..

Biashara ni fani kama uchezaji boli, sinema etc..huwezi kuingia kwenye fani hii bila kuwa na aina fulani ya kipaji sitaki uwadanganye watu..

Biashara ingekuwa rahisi hivyo leo hii watu wengi sana wangekuwa wameacha kuajiriwa (lakini watu wengi sana wameajiriwa)? do you know why? kwasababu kazi ngumu zinafanywa na watu wenye determination, patience and creative..

Usikurupuke, jipange sawasawa huku kwenye informal sector kuna kila aina ya challenge trust me..saa zingine nawashangaa sana wafanyakazi wangu lakini..ndio hivyo tena..

Kufanya kazi siyo dhambi na kujiari siyo lazima ndio mafanikio..it DEPENDS;
 
50% of my salary inaingia katika biashara zangu kila mwezi. Ukitaka uanze biashara yako ukiwa umeajiriwa, ni lazima ubane sana matumizi. vijana wengi tunakimbilia mikopo inayotutaabisha mbeleni. Rafiki yangu alikopa gari akaishia kulipaki baada ya mafuta kuwa ishu ...kila siku akawa mtu wa mizinga.
 
mkuu hayo ni mawazo yanayovutia kusikiliza "kujiajiri" ni ngumu kuliko unavyotaka watu waone ni rahisi trust me..

Biashara ni fani kama uchezaji boli, sinema etc..huwezi kuingia kwenye fani hii bila kuwa na aina fulani ya kipaji sitaki uwadanganye watu..

Biashara ingekuwa rahisi hivyo leo hii watu wengi sana wangekuwa wameacha kuajiriwa (lakini watu wengi sana wameajiriwa)? Do you know why? Kwasababu kazi ngumu zinafanywa na watu wenye determination, patience and creative..

Usikurupuke, jipange sawasawa huku kwenye informal sector kuna kila aina ya challenge trust me..saa zingine nawashangaa sana wafanyakazi wangu lakini..ndio hivyo tena..

Kufanya kazi siyo dhambi na kujiari siyo lazima ndio mafanikio..it depends;

huko kazini ndo hakuna chaleng? Au kuamuka saa kumi na moja kuwahi foleni za kwenda kazini na kurudi nyumbani saa mbili wewe unaona ni poa tu,

ni kweli haiwezekani watu wote wajiajiri make wafanya kazi watakosekana but si kweli kwamba kwenye biashara ndo kuna chaleng pekee na kwani chalenge ndo nini? Hakuna biashara rahisi duniani kwamba unaingia bila matatizo so yeyote anaye ingia kwenye biashara ni lazima alijue hilo.
 
Ndugu mtoa hoja nakuunga mkono kwa asilimia kubwa ulichosema ni sahihi. wakati umefika vijana walio under 35yrs waanze kujiajiri hata km ni part time hii itawasaidia hata kupanga muda wa kustafu kwani watakua na nafasi nzuri lakini wazo lako ulilolisema nalikubali kua kuajiriwa ni kuendelea kumnenepesha mtu lakini wewe maisha yako yanabaki kuwa duni.
Thanks
 
huko kazini ndo hakuna chaleng? Au kuamuka saa kumi na moja kuwahi foleni za kwenda kazini na kurudi nyumbani saa mbili wewe unaona ni poa tu,

ni kweli haiwezekani watu wote wajiajiri make wafanya kazi watakosekana but si kweli kwamba kwenye biashara ndo kuna chaleng pekee na kwani chalenge ndo nini? Hakuna biashara rahisi duniani kwamba unaingia bila matatizo so yeyote anaye ingia kwenye biashara ni lazima alijue hilo.

watu wengi wanaogopa kurisk their income coz anajua akiwa mjasiriamali anaweza kuinvest hela na wakati mwingine akapata hasara ila ni bora mtu akaanza kwani kadri anavyoshindwa ndivyo anavyojua zaidi
Mimi mwenyewe kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi ktk kampuni fulani (telecom contractor) nilikuwa nalipwa 350,000 take home lkini niliona fursa ktk ofisi yetu kulikuwa na mradi wa fiber optic ambao ilibidi kuchimba mitaro ndipo ulaze hizo cable so kulikuwa na uhitaji wa casuals hakuna mtu aliejitokeza, ila mimi nikaona ninaweza kuleta casuals so nikaongea na project manager tukakubaliana na nikaanza kazi hiyo kiukweli ilinibidi nianze na sh 700,000 na sikua na hela ya kutosha ila nikaongea na rafiki yangu mmoja akaniongezea sh 250,000. kwa siku nne za mwanzo nilikuwa natoa hela tu lakini baada ya hapo nilijikuta kwa kila mita moja ninapata faida ya 300 kwa kila meter moja inayochimbwa. Kwa wiki nilikuwa na uwezo wa kukamilisha kilometer 2.5 au 3km so nikawa napata karibu sh 750,000 hadi 900,000 kwa wiki na kazi yenyewe ilikuwa na urefu wa kilometer 9.
Though ilikuwa inanilazimu kuamka mapema nikapangie watu kazi halafu naenda kazini na wakati wa lunch nakimbia kucheck kazi zilivyo na inanilazimu kufanya kazi na kumaliza mapema ili muda wa kuondoka kazini ukifika niwahi kwenye project yangu........ ktk hili nilijifunza ili uweze kufanikiwa ni lazimu uwe na totally committed ktk shuguli zako na uwe self motivativated na hicho ndicho kitu kinachoshinda waajiriwa wengi kwa hawataki au hawawezi kuwa seriously commited.
thanks
 
watu wengi wanaogopa kurisk their income coz anajua akiwa mjasiriamali anaweza kuinvest hela na wakati mwingine akapata hasara ila ni bora mtu akaanza kwani kadri anavyoshindwa ndivyo anavyojua zaidi
Mimi mwenyewe kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi ktk kampuni fulani (telecom contractor) nilikuwa nalipwa 350,000 take home lkini niliona fursa ktk ofisi yetu kulikuwa na mradi wa fiber optic ambao ilibidi kuchimba mitaro ndipo ulaze hizo cable so kulikuwa na uhitaji wa casuals hakuna mtu aliejitokeza, ila mimi nikaona ninaweza kuleta casuals so nikaongea na project manager tukakubaliana na nikaanza kazi hiyo kiukweli ilinibidi nianze na sh 700,000 na sikua na hela ya kutosha ila nikaongea na rafiki yangu mmoja akaniongezea sh 250,000. kwa siku nne za mwanzo nilikuwa natoa hela tu lakini baada ya hapo nilijikuta kwa kila mita moja ninapata faida ya 300 kwa kila meter moja inayochimbwa. Kwa wiki nilikuwa na uwezo wa kukamilisha kilometer 2.5 au 3km so nikawa napata karibu sh 750,000 hadi 900,000 kwa wiki na kazi yenyewe ilikuwa na urefu wa kilometer 9.
Though ilikuwa inanilazimu kuamka mapema nikapangie watu kazi halafu naenda kazini na wakati wa lunch nakimbia kucheck kazi zilivyo na inanilazimu kufanya kazi na kumaliza mapema ili muda wa kuondoka kazini ukifika niwahi kwenye project yangu........ ktk hili nilijifunza ili uweze kufanikiwa ni lazimu uwe na totally committed ktk shuguli zako na uwe self motivativated na hicho ndicho kitu kinachoshinda waajiriwa wengi kwa hawataki au hawawezi kuwa seriously commited.
thanks

Wewe ni mfano mzuri sana,unapoanza biashara lazima pesa ikutoke siku za mwanzoni,ni kama unapolea mtoto,laziima ugharamike sana mwanzoni,na wala huwezi pata faida kubwa, na pia huwezi kujilipa kama unataka ufike mbali,lkn baada ya muda mambo yanajipa.
 
Back
Top Bottom