Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekukosa?? Direct translation ni common mistake. I don't blame you!!acha uongo mkuu,, NIMEKUMISS=NIMEKUKOSA
Shukrani mkuu. Yani hapo ulichofanya ni kumpatia maji mtu aliyekuwa na kiu kali sana. Mifano yako inajitosheleza vya kutosha maana watu walikuwa hawanielewi kabisaNimekukosa?? Direct translation ni common mistake. I don't blame you!!
Kwa namna moja upo sawa - if you were a sniper, shooting to kill someone, and you missed the shot hapo ungesema "I missed you!" kwa tafsiri ya kuwa umemkosa ila kwenye kuonesha hisia za kumkumbuka mtu sababu ya absence yake ni "UMEMUPEZA."
Tutafika tu.Shukrani mkuu. Yani hapo ulichofanya ni kumpatia maji mtu aliyekuwa na kiu kali sana. Mifano yako inajitosheleza vya kutosha maana watu walikuwa hawanielewi kabisa
Kupeza huku kwetu ni kama kupatilishia mtu kitu.Haa!!! Kwanini?!!
Maneno mengi ya kiswahili yamepotea kwa sababu tulio wengi wa Tanzania hatuna utaratibu wa kusoma vitabu vya zamani kidogo au hata kamusi. Ndio, kiswahili ni lugha yetu ya taifa, lakini hatuijui.Nakumbuka pia nilishawahi kutoa uzi unaoeleza kuwa chips kwa kiswahili zinaitwa "VIBANZI" ila niliambiwa mi mwongo ninabunibuni maneno
Ila kama ulivyosema, tutafika tu.Maneno mengi ya kiswahili yamepotea kwa sababu tulio wengi wa Tanzania hatuna utaratibu wa kusoma vitabu vya zamani kidogo au hata kamusi. Ndio, kiswahili ni lugha yetu ya taifa, lakini hatuijui.
Kiswahili kipo complicated kuliko hata tunavyoweza kuelezea.
I miss you, maana yake una hamu ya (uwepo) wa mtu, sidhani kama ni kumkumbuka.Habari wa JamiiForum.
Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto,vijana,wazazi, na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
Naam boss. Ndio uanze sasa kulitumia hilo neno
angalau leo nimepata jina la kutumia ....asanteHabari wa JamiiForum.
Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto, vijana, wazazi na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza