Nina uhahika 98% hawajui hili

Amafita

Senior Member
Jul 22, 2019
153
293
Habari wa JamiiForum.

Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto, vijana, wazazi na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
 
Habari wa JamiiForum.

Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto,vijana,wazazi, na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
Hii ndo mada sasa cz inafundisha na kukuza lugha yetu adim KISWAHILI nice
 
Habari wa JamiiForum.

Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto,vijana,wazazi, na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
Sikuwahi kulisikia, leo ndio mara ya kwanza
 
Habari wa JamiiForum.

Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto,vijana,wazazi, na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
Naanza na mwandishi..... Nimekupeza....
 
Habari wa JamiiForum.

Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto,vijana,wazazi, na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
Nimekupeza
 
Sio uongo na usikimbilie kukosoa pasipo kujua. Naona umesimamia ile dhana ya Direct translation ila kwa neno hilo umechemsha. Ukisema "nimekukosa" unahamisha maana kabisa yani ni sawa na Waganda wanavyohangaika kila kukicha kufanya utafsiri wa moja kwa moja kwa maneno ya kiswahili wasioyajua. Mfano ni huu,kasikilize wimbo unaitwa "Na wewe" ulioimbwa na Cindy Sanyu wa Uganda ndio utaelewa ninachokwambia
acha uongo mkuu,, NIMEKUMISS=NIMEKUKOSA
 
Habari wa JamiiForum.

Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto,vijana,wazazi, na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
Nimekupeza Lovenear
 
Back
Top Bottom