chipelele
Member
- Apr 5, 2020
- 12
- 8
Habari wapendwa,
Nasumbuliwa na maumivu ya kiuno na mgongo nilipima Dtk. kaniambiwa pingili za uti wa mgongo zimebanana chaajabu nimeanza kutibiwa tangu January hadi Leo nakunywa dawa kila siku bado maumivu yapo hasa wakati wa kukaa pingili ya chini kwenye mkia makalioni.
Tafadhali kama kuna mtu aliwahi pitia hii shida naomba msaada wa matibabu au kama kuna dawa nzuri nikanunue maana nahudhuria klinik kila mwezi hadi kuna mda nakata tamaa.
Msaada tafadhali
Nasumbuliwa na maumivu ya kiuno na mgongo nilipima Dtk. kaniambiwa pingili za uti wa mgongo zimebanana chaajabu nimeanza kutibiwa tangu January hadi Leo nakunywa dawa kila siku bado maumivu yapo hasa wakati wa kukaa pingili ya chini kwenye mkia makalioni.
Tafadhali kama kuna mtu aliwahi pitia hii shida naomba msaada wa matibabu au kama kuna dawa nzuri nikanunue maana nahudhuria klinik kila mwezi hadi kuna mda nakata tamaa.
Msaada tafadhali