tutaishi milele
Member
- Dec 26, 2015
- 50
- 33
Habari wakuu nina tatizo la mwili kuchoma choma kuanzia kichwani mpaka maeneo ya kifuani pale ninapopata joto, tatizo hili nilishawahi kuwa nalo kabla nlipewaga ushauri na daktari ambaye siwezi kumpata tena aliniambia ni minyoo akanipatia dawa za minyoo sizikumbuki ni aina gani nlipona kabisa tatizo hilo. Kwa sasa lilimejirudia nimejaribu dawa za minyoo dozi mbili tofauti lakini tatizo halijaisha. Sasa sijajua kama nimetumia dawa tofauti na zile kwa yoyote mwenye ujuzi na hili naomba anisaidie.