Nyanda lunduma
Senior Member
- Apr 10, 2015
- 187
- 68
Habar wana jf,
Niende moja kwa moja kwenye maada yangu hapo juu , hilo tatizo la macho kila mara ifikapo usiku macho yangu huwasha sana na kusababisha nijikune na kupelekea mpaka kuwa mekundu, nimeenda Hospital na dawa kushauri vizuri dawa za kutumia ila mpaka sasa bado inasumbua.
Nimekuja kwenu wana jf kupata msaada mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende moja kwa moja kwenye maada yangu hapo juu , hilo tatizo la macho kila mara ifikapo usiku macho yangu huwasha sana na kusababisha nijikune na kupelekea mpaka kuwa mekundu, nimeenda Hospital na dawa kushauri vizuri dawa za kutumia ila mpaka sasa bado inasumbua.
Nimekuja kwenu wana jf kupata msaada mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app