yeap ila usiwe na presha vijana wanatumia sana ila wazee ndo inawaathiri kuna wna hawna tatizo ila wanatumia kama hauna presha ya kupanda tumia tena ile gram ndogo balaa usichukue kubwaBei ya hiyo kitu ikoje mkuu.??
Na pia si naskia ni vizuri ili kuitumia upate ushauri wa dktari inaweza kuleta madhara mkuu.
ukiboost siku moja naamini confidence utakuwa nayo siku nyingine
usidharau