Nina tatizo la kuwahi kufika kileleni

Usiweke sana mawazo kwenye game kila kitu kinaanzia kwenye akili yako na ndio maana kila round inakuwa kama round ya kwanza
 
Mimi ni mgeni katika sex ni mara 2 nimesex tangu nizaliwe na ni mwezi umri miaka 24. Sasa nina shida moja mashine yangu kabla ya kuanza inasimama balaa ila nikianza game dakika 2 nimepizi.

Natulia sekunde inaanza kusimama tena. Juzi nilipiga bao 6 ila mtindo ndio ule ule nikishaingiza tu ndani ya dakika 2 zimezidi 3 nimeshapizi.

Sasa solution ni nini?
Kunywa pombe kali
 
Sasa kama unakojoa kuna shida gani, we shusha mzigo hizo dk 3 mbona nyingi sana kama hajaeidhika ataenda kupiga nyeto, usijipe stress, piga hata bao kumi namna hiyo chill...change your lifestyle la sivyo utakuwa power bank
 
Mimi ni mgeni katika sex ni mara 2 nimesex tangu nizaliwe na ni mwezi umri miaka 24. Sasa nina shida moja mashine yangu kabla ya kuanza inasimama balaa ila nikianza game dakika 2 nimepizi.

Natulia sekunde inaanza kusimama tena. Juzi nilipiga bao 6 ila mtindo ndio ule ule nikishaingiza tu ndani ya dakika 2 zimezidi 3 nimeshapizi.

Sasa solution ni nini?
Kama raha unapata, worry less broh. Duniani tunapita.
 
Kopa mkulu uwe na madeni kibao gombana nao sana wadeni wako yaheee ukifika kwa mbususu dkk moja unaanza kukumbuka madeni humwagi
 
control hisia zako acha kupania, nikupe mbinu ykitoto slow down pindi unapohisi ejaculation inakaribia then keep up again
Kumbuka hio kitu sio msosi au vita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom