Ability product
Member
- Jun 24, 2017
- 9
- 3
Jamani ndgu zangu mm Nina umri wa miaka 21 naomba msaada Nina tatizo la kutopata hedhi kwa muda mwingi Hali inayonifanya nikose Raha.
Kwa mwaka napata Mara 3 tu. Na pindi ikitokea napata maumivu makali Sana na kichefuchefu Mara ya mwisho ilikuwa 30/12/2020 Hadi Leo sijaona Tena na Sina dalili yoyote na Wala Sina ujauzito.
Kwa mwaka napata Mara 3 tu. Na pindi ikitokea napata maumivu makali Sana na kichefuchefu Mara ya mwisho ilikuwa 30/12/2020 Hadi Leo sijaona Tena na Sina dalili yoyote na Wala Sina ujauzito.