Habari,
Mimi nina tatizo la kutoka majimaji ukeni yanayosababisha kuwasha sehemu za mashavu ya uke hali inayopelekea kujikuna saana na kutoka vidonda.
Nimeenda hospital napewa vidonge na dawa ya kupaka hakuna nafuu nardi tena nabadilishiwa dawa Hali Iko palelale mwisho nimeamua kumwomba Mungu nimechoka na vidonge na dawa nisaidieni watalamu wetu.
Mimi nina tatizo la kutoka majimaji ukeni yanayosababisha kuwasha sehemu za mashavu ya uke hali inayopelekea kujikuna saana na kutoka vidonda.
Nimeenda hospital napewa vidonge na dawa ya kupaka hakuna nafuu nardi tena nabadilishiwa dawa Hali Iko palelale mwisho nimeamua kumwomba Mungu nimechoka na vidonge na dawa nisaidieni watalamu wetu.