EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Dalili za tezi dume ndio kama anazolalamikia huyu mwenye uzi wakeTezi dume imekuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dalili za tezi dume ndio kama anazolalamikia huyu mwenye uzi wakeTezi dume imekuwaje?
Acha kupiga punyetoHabar ndugu zangu mim nikijana wa miaka33 kwakipindi kireefu nimekua nashida nikinywa maji hata robo kikombe baada ya dk20 ntahis mkojo nikienda kukokoja ntakojoa ile naumalizia mkojo mwishoni unatoka kwa kukatakata namatone matone mwisho wakukojoa...
Dalili ya tezi dume! Kwani tezi dume ni nini?Dalili za tezi dume ndio kama anazolalamikia huyu.mwenye uzi wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh! Kama Kuna point vile!!!Acha kuzibua mitaro dogo
Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.Dalili ya tezi dume! Kwani tezi dume ni nini?
Hapa sasa umeeleweka maana kusema tu tezi dume haitoshi.Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume....
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachokula kiangalie inawezekana huli wanga ilishanitokeaga, tengeneza juisi ya tangawizi kunywa kidogo mara mbili kwa siku hata mara tatu hiyo hali itaishaMkuu sijawahi kuwa natatizo lamkojo kutoka bila hiari yangu naskia mkojo na nnaweza kuubana hata masaa2 Ila ndo hivo nikikojoa baada ya dk30 ntahis Tena mkojo na kuhusu UTI mpaka umri huu miaka33 sjawahi kuugua UTI kwakweli
Mkuu nenda hospitali kacheki, huenda tatizo la tezi dume lina kunyemeleaHabar ndugu zangu mim nikijana wa miaka33 kwakipindi kireefu nimekua nashida nikinywa maji hata robo kikombe baada ya dk20 ntahis mkojo nikienda kukokoja ntakojoa ile naumalizia mkojo mwishoni unatoka kwa kukatakata namatone matone mwisho wakukojoa...
Nimeshacheki, nilikua muhimbili hakuna tatizo lolote lililoonekana. Nimeambiwa nipimwe kipimo cha kuingiza kifaa katika njia ya mkojo wajue ni nini shida Ila nimefikiria kwanza maana kuingizwa kitu Tena ktk njia ya mkojomkuu nenda hospitali kacheki huenda tatizo la tezi dume lina kunyemelea
Nimefika muhimbili nimefanyiwa ultrasound damu na mkojo hawakuona kitu wamedai waniingizie kifaa ktk njia ya mkojoKwa dalili zako,haraka haraka unaweza ukawa na ugonjwa wa DIABETES INSIPIDUS( chanzo inaweza ikawa ni figo(nephrogenic)nau ni ubongo (central) ) fika MUHIMBILI watakufanyia vipimo na kukutibu tatizo lako]
Mkuu nilifika muhimbili vipimo vya awali ultrasound na damu hakukuonekana kitu ziada, wameelekza nifanyiwe kipimo Cha mrija kuingizwa ktk njia ya mkojoDiabetes insipidus sio kisukari mzee, kisukari ni Diabetes mellitus. Vitu viwili tofauti kabisaa Nenda hospitali utapata tiba
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Habar ndugu zangu mim nikijana wa miaka33 kwakipindi kireefu nimekua nashida nikinywa maji hata robo kikombe baada ya dk20 ntahis mkojo nikienda kukokoja ntakojoa ile naumalizia mkojo mwishoni unatoka kwa kukatakata namatone matone mwisho wakukojoa...
Inawezekana hiiMay be urethral stricture yaan kwenye njia ya mkojo kutoka nje kuna vizuiz vimeota hapo ambapo sometimes vinazuia kutoa mkojo wote na kuubakisha mwingine ndan. Nenda hospital waangalie huko kwenye njia ya kutoa mkojo nje.
Vp mkuu, umepona ?Inawezekana hii