malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,746
- 2,623
Habari ndugu zangu, mimi ni kijana wa miaka 33 kwa kipindi kirefu nimekua nashida nikinywa maji hata robo kikombe baada ya dk 20 nitahisi mkojo, nikienda kukokoja ntakojoa ile naumalizia mkojo mwishoni unatoka kwa kukatakata na matone matone mwisho wa kukojoa.
Pia hata nikiwa sijanywa maji baada dakika 50 nitahisi mkojo, naenda kukojoa kama mwanzo. Kitu kingine ninywapo maji mengi kama Lita moja na nusu hivi basi baada takriban dk50 nitapatwa namkojo ntaenda kukojoa na nikimaliza baada ya hapo basi kila baada ya dk15 nitaenda chooni hata mara10 mpaka maji yoote niliyokunywa yaishe mkojo uishe ktk kibofu.
Pia nitaendelea na hali ya mwanzoni ya kuendelea kupata mkojo kila baada ya dk 30. Nimepima Sana kisukari kabla ya kula na baada ya kula sukari yangu iko normal nikiwa sijala huchezea 5.1 nikiwa nimekula huchezea 6.3 pia nimefanya ultrasound sana napokua na matatizo mengne vipimo pia huwa vinaonyesha kwenye figo kuko poa tu.
Wakuu msaada wenu tafadhali pia Kama nitaweza elekezwa wapi hospital ina dakari bingwa mzuri wa urology
Pia hata nikiwa sijanywa maji baada dakika 50 nitahisi mkojo, naenda kukojoa kama mwanzo. Kitu kingine ninywapo maji mengi kama Lita moja na nusu hivi basi baada takriban dk50 nitapatwa namkojo ntaenda kukojoa na nikimaliza baada ya hapo basi kila baada ya dk15 nitaenda chooni hata mara10 mpaka maji yoote niliyokunywa yaishe mkojo uishe ktk kibofu.
Pia nitaendelea na hali ya mwanzoni ya kuendelea kupata mkojo kila baada ya dk 30. Nimepima Sana kisukari kabla ya kula na baada ya kula sukari yangu iko normal nikiwa sijala huchezea 5.1 nikiwa nimekula huchezea 6.3 pia nimefanya ultrasound sana napokua na matatizo mengne vipimo pia huwa vinaonyesha kwenye figo kuko poa tu.
Wakuu msaada wenu tafadhali pia Kama nitaweza elekezwa wapi hospital ina dakari bingwa mzuri wa urology