dump
JF-Expert Member
- Mar 23, 2020
- 588
- 858
Nenda muhimbili au agakhan ukapimwe ndugu usipuuzeNimefika dar Jana kutoka mkoani
Nenda muhimbili au agakhan ukapimwe ndugu usipuuzeNimefika dar Jana kutoka mkoani
Sipati maumivu yoyote wakati wa kukojoaUrethral stricture? ! Je unapata maumivu wakati wa kwenda haja ndogo?
Tezi dume kwa umri wa miaka33 tu.. mbona hospitalini shapimaga kwa miaka tofauti ultrasound ya tumbo mara 3 kwa tatizo lingine kabisa na tezi dume ikaonekana iko sawa tuMkuu hii nidalili ya TEZI DUME
tafuta tiba nimeona Taasisi ya Tiba mbadala ya MUHIMBILI wametangaza wana dawa ya hio kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu, Asante kwa ushauri muhimbili kitengo gani?Nenda muhimbili au agakhan ukapimwe ndugu usipuuze
Nipo mkoa wenye jotoUnaishi mazingira yapi? Kama ni sehem za baridi, hiyo hali nahisi ni kawaida.
Binafsi naweza sema nipo kama wewe, ila naishi mikoa ya baridi. Huwa nikirudigi home, hali inakuwa ya kawaida tu. Ila hata hapa, endapo nikiwa nimekula vizuri na kwa wakati, hata ninywe maji nusu jagi, hali itakuwa ya kawaida tu.Nipo mkoa wenye joto
Wewe unajua wanavyopima Tezi dume? Usiwe mbishi hiyo ni dalili kuwa Postate imevimba au ni Postate cancerTezi dume kwa umri wa miaka33 tu..mbona hospitalini shapimaga kwa miaka tofaut ultrasound ya tumbo mara3 kwa tatizo lingine kabisa na tezi dume ikaonekana iko sawa tu
Mkuu kisukari wala sina mkuu, sukari yangu nikiwa sijala ni 5.1Kwa dalili zako,haraka haraka unaweza ukawa na ugonjwa wa DIABETES INSIPIDUS( chanzo inaweza ikawa ni figo(nephrogenic)nau ni ubongo (central) ) fika MUHIMBILI watakufanyia vipimo na kukutibu tatizo lako]
Kazi yangu ni ya duka, ni ya kukaa tu.Binafsi naweza sema nipo kama ww, ila naishi mikoa ya baridi. Huwa nikirudigi home, hali inakuwa ya kawaida tu. Ila hata hapa, endapo nikiwa nimekula vizuri na kwa wakati, hata ninywe maji nusu jagi, hali itakuwa ya kawaida tu.
Hebu jaribu kuangalia food na life style yako. Mwili ukiwa unafanya kazi kazi, ukinywa maji yanakaa mwilini maana yatapatiwa kazi pia.
Mkuu tezi dume inapimwa kwa ultrasound mkuu au njia ya kidole kuingiziwa haja kubwaWewe unajua wanavyopima Tezi dume? Usiwe mbishi hiyo ni dalili kuwa Postate imevimba au ni Postate cancer
Mbona sijawahi kuugua UTIHiyo ni UTI mkuu,nenda kacheki hospitali.
Mkuu sijawahi kuwa natatizo la mkojo kutoka bila hiari yangu, nasikia mkojo na nnaweza kuubana hata masaa 2 Ila ndo hivyo, nikikojoa baada ya dk 30 nitahisi tena mkojo na kuhusu UTI mpaka umri huu miaka 33 sijawahi kuugua UTI kwakweliKama upo mjini Dar nenda hospitali za wahindi ukaangaliwe mkojo wako utakuwa unayo maradhi ya UTI aka mkojo mchafu na Bacteria na infection kwenye njia ya kibofu cha mkojo Au unayo Maradhi ya KUTOKWA KWA MKOJO KWA WINGI BILA YA KHIARI (POLYURIA)...
Sio kila baada ya masaa manne namaana ya kwamba mbona sikuchukui mda kidogo mkojo ndio unibane maana najiona tofauti na watu wengine huchukua hata masaa 3 na kuendelea ndio hubanwa namkojo na hapo ni anakua kanywa maji hata lita mojaKwahiyo ulitaka ukojoe kila baada ya masaa 4