Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 8,920
- 16,199
Habarini Wanajamvi..
nina tatizo la kusikia kizunguzungu na kutapika endapo tu kama nitafanya kazi yeyote ya kufanya nipumue kwa haraka au nikifanya mazoezi ya kukimbia haitonichukua dakika 30 lazima nitatapika.
naomba kujua hili linasababishwa na nini??
sina utaratibu wa kufanya mazoezi mara kwa mara.
nina tatizo la kusikia kizunguzungu na kutapika endapo tu kama nitafanya kazi yeyote ya kufanya nipumue kwa haraka au nikifanya mazoezi ya kukimbia haitonichukua dakika 30 lazima nitatapika.
naomba kujua hili linasababishwa na nini??
sina utaratibu wa kufanya mazoezi mara kwa mara.