Acha kula kula hovyo hasa viporo.Aisee,naachia mabomu kama zile supersonic bombs za usa.
Tatizo n nini wakuu?ba nitumie dawa gani kupunguza kujamba sana?
Nchi imezidi sana uhuru. We ni mwanamke au mwanaume? Kama mwanaume naamini huko nyumbani mkeo ndio kichwa cha familia
Huu ni mwaka wa Mpwayungu Mzee wa chaiHabari zenu Wana JF
Poleni na misukosuko ya maisha.
Mimi nina tatizo la kujamba kila baada ya dk mbili yaani tweti four hours na hili tatizo lilianza tangu nije apa kwa wahindi maana nakaa upanga ni mwanaume nafanya kazi ya kusafisha nyumba na bustani pia.
Sihitaji kejeli naomba kwa Anaejua dawa yake maana inafika wakat hata kukaa na wenzangu naona aibu inakuwa kero kwao.
Asanteni.
We una visa Eti Njoo hapa hapa kwani huko PM unaenda kufanywaje?
Umefanya jamaa analia sasa! hana hamu na JF! Ujanja yoote kwishne!Wahindi wamesha fanya yao
Angalia unachokula na muda wa kula pia. Kula milo 2 hadi 3 tu.Habari zenu Wana JF
Poleni na misukosuko ya maisha.
Mimi nina tatizo la kujamba kila baada ya dk mbili yaani tweti four hours na hili tatizo lilianza tangu nije apa kwa wahindi maana nakaa upanga ni mwanaume nafanya kazi ya kusafisha nyumba na bustani pia.
Sihitaji kejeli naomba kwa Anaejua dawa yake maana inafika wakat hata kukaa na wenzangu naona aibu inakuwa kero kwao.
Asanteni.
Nile vitu vibichi? Kwahiyo nyama na samaki Nile zikiwa mbichi piaAngalia unachokula na muda wa kula pia. Kula milo 2 hadi 3 tu.
Kunywa maji mengi. Kula vitu vibichi
Nikinunua je au mpaka nitengeneze mwenyeweTengeneza Juice Ya Ukwaji Unywe