Nina matatizo ya kifua kuwaka moto na mgongo kuwaka moto na kichwa kushika ganzi kwa ndani kama kinachoma choma kimekamatana nakion kidogo ila kifua tangu mwezi wa saba kinawaka moto nimetumia dawa mbali mbal antbiotic hakipon man nilichek x ray niliambiw kuna mikwaruzo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app