Fafanua jomba90% ya vitu kwenye hii dunia vimefichwa. Na inahitaji uwezo wa ziada kuvijua.
NBC bank ina hali gani mkuu?Umejaribu kuangalia nchi nyingine zilizofanikiwa ukaangalia zinatumia wanyama gani?? Refer nchi kama Australia, mnyama Kangaroo ana tofauti gani kubwa na huyo Twiga??
Je kwenye benki zilizofilisika zaidi ya Twiga Bancorp hakuna nyingine???
Panua mawazo kdg!!
kwani nguruwe ana shida bosi?
duuh. mbona kinapendwa hivyo?Mchafu na ana mapepo
kwa hivyo mzee hao roho waovu yanapenda viumbe vichafu?mapepo hayachukiwi
Hayo ndio makazi yao
Hahaha, bado mkuu...huwa ni varangati??Hiyo cha mtoto ushawahi kuwaona wakifanya ma2C?