Nina tatizo kidogo na mnyama twiga

NBC bank nayo yale yale mnyama twigs.
IMG_20180430_121637_757.JPG
 
Umejaribu kuangalia nchi nyingine zilizofanikiwa ukaangalia zinatumia wanyama gani?? Refer nchi kama Australia, mnyama Kangaroo ana tofauti gani kubwa na huyo Twiga??
Je kwenye benki zilizofilisika zaidi ya Twiga Bancorp hakuna nyingine???
Panua mawazo kdg!!
NBC bank ina hali gani mkuu?
 
Twiga wananiachaga hoi tu wanapogombana, wanachapana shingo....yaani anaizungusha shingo kama kombepo halafu anamchap mwenzie shingoni, kama ni afya mgogoro shingo inakatika.
 
Twiga wananiachaga hoi tu wanapogombana, wanachapana shingo....yaani anaizungusha shingo kama kombepo halafu anamchap mwenzie shingoni, kama ni afya mgogoro shingo inakatika.
Hiyo cha mtoto ushawahi kuwaona wakifanya ma2C?
 
Back
Top Bottom