Ingekuwa rahisi kupata hicho anacho kifikiria cha UKUU WA IDARA kwani anauzoefu mkubwa ktk mambo ya Elimu. Huko aliko sasa ana anza upya
Kwa mfano kama angesoma fani yake faida zingekuwa zipi? Maana nasikia unapanda tu labda toka D1 Mpaka D3 basi mfano kama mtumishi alikuwa ana bachelor akaenda kuongeza mastaers