DongoJeusi
Member
- Aug 1, 2018
- 79
- 76
Heri ya mwaka mpya wana JF hongera sana kwako kwa kuweza kuiona hii siku ya leo na pole sana kwa wale ambao bado ni wagonjwa naamini kwa MUNGU muweza watapata nafuu.
Mimi mwanafunzi wa chuo fulani hapa Mwanza na nipo mwaka wa pili sasa tamaa yangu kubwa sana mpaka hivi sasa Ni kuwekeza katika biashara hususani biashara ya DAGAA kwa hapa Mwanza maana zinapatikana na soko Ni kubwa kwa mikoani hususani Mbeya , morogoro , Iringa kwa tafiti ndogo niliyojaribu kuifanya.
Katika kila tamaa lazima kuwepo na changamoto zinazofanya malengo yasiende mbele.Je ni masomo ndio yanafanya malengo yasiende mbele? Jibu ni hapana.
Biashara yingi kwa hapa kwetu Tanzania na dunia kiujumla unapohitaji kuianzisha ni lazima kuwepo na vitu kama MTAJI, NGUVU KAZI,SEHEMU YA KUFANYIA BIASHARA NA KILE UNACHOTALAJIA KUFANYA.
Kwahiyo katika hivyo vinne Ni MTAJI PEKEE umekuwa Ni changamoto inayonikwamisha kuweza kuwekeza.Nilikaa na nikawaza kipi cha kufanya kupambana na hii changamoto mwisho nilikuja na wazo LA kukopa BENKI Ila sina chochote cha kuweza kuweka lehani ili BENKI iweze kunipatia mkopo .
Nikaona kuwa wapo ndugu zangu hapa JF waliopitia njia Kama hiii ninayopitia Mimi na wakafanikiwa katika uwekezaji.
Ni njia gani hizo walipitia kuweza kupata MTAJI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwanafunzi wa chuo fulani hapa Mwanza na nipo mwaka wa pili sasa tamaa yangu kubwa sana mpaka hivi sasa Ni kuwekeza katika biashara hususani biashara ya DAGAA kwa hapa Mwanza maana zinapatikana na soko Ni kubwa kwa mikoani hususani Mbeya , morogoro , Iringa kwa tafiti ndogo niliyojaribu kuifanya.
Katika kila tamaa lazima kuwepo na changamoto zinazofanya malengo yasiende mbele.Je ni masomo ndio yanafanya malengo yasiende mbele? Jibu ni hapana.
Biashara yingi kwa hapa kwetu Tanzania na dunia kiujumla unapohitaji kuianzisha ni lazima kuwepo na vitu kama MTAJI, NGUVU KAZI,SEHEMU YA KUFANYIA BIASHARA NA KILE UNACHOTALAJIA KUFANYA.
Kwahiyo katika hivyo vinne Ni MTAJI PEKEE umekuwa Ni changamoto inayonikwamisha kuweza kuwekeza.Nilikaa na nikawaza kipi cha kufanya kupambana na hii changamoto mwisho nilikuja na wazo LA kukopa BENKI Ila sina chochote cha kuweza kuweka lehani ili BENKI iweze kunipatia mkopo .
Nikaona kuwa wapo ndugu zangu hapa JF waliopitia njia Kama hiii ninayopitia Mimi na wakafanikiwa katika uwekezaji.
Ni njia gani hizo walipitia kuweza kupata MTAJI
Sent using Jamii Forums mobile app