HANS FRANCIS
Member
- Mar 9, 2015
- 6
- 7
Nina shida ya daktari mzuri wa nyama za pua, anayemjua tafazal anifahamishe.
Mimi nipo Dar.
Mimi nipo Dar.
Mim nilimaanisha mtu mwenye ofisi yake ..mfano dk kairuki, anaweza mtu akawa amesomea but hana officeHakika huwezi kutibu kama hujasomea kikamilifu na uwe mwadilifu na sio mpiga dili
Nenda muhimbili muulizie dr. Edwin daktari bingwa wa pua na kooMim nilimaanisha mtu mwenye ofisi yake ..mfano dk kairuki, anaweza mtu akawa amesomea but hana office
Niliwahi kwenda pale kabla mzee mwenyewe ekenywa hajafariki.Ekenywa Magomeni
Oh asantee mkuu.Nenda Muhimbili mtafute Dr.Enica au Kimario hao ni mabingwa watakusaidia
Baada ya mzee kufariki ilikuwa magumashi labda umkute Dr EmmanuelNiliwahi kwenda pale kabla mzee mwenyewe ekenywa hajafariki.
Kweli aisee yuko vizur sana na mimi alinitibia Pale Regency.Dr Edwin is the best yuko muhimbili lakini kila jioni anakuwa Regency
Oh akhsante mkuu.Dr Edwin is the best yuko muhimbili lakini kila jioni anakuwa Regency
Baada ya mzee kufariki ilikuwa magumashi labda umkute Dr Emmanuel