Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,532
Nimetimiza ahadi mama masapta masapta: hii ya Leo ni tambi, maini kwa pembeni, na ndizi iliyoungwa na utumbo.Eti chini sio kiviiile😂wewe huyoo???lol em nitumie namm nione mapochopocho
Nimetimiza ahadi mama masapta masapta: hii ya Leo ni tambi, maini kwa pembeni, na ndizi iliyoungwa na utumbo.Eti chini sio kiviiile😂wewe huyoo???lol em nitumie namm nione mapochopocho
Sanchiiii...lol....Ndio mambo ya dada wa kiiraq nini???😃wooiiiNimetimiza ahadi mama masapta masapta: hii ya Leo ni tambi, maini kwa pembeni, na ndizi iliyoungwa na utumbo.View attachment 1115497
Kuna hatari ya kutorudi dar;Sanchiiii...lol....Ndio mambo ya dada wa kiiraq nini???😃wooiii
Mm nilsha wahi kutana be nae MMOJA!Wakuu.
Sijawahi kukutana na mwanaJF mwenzangu yeyote yule toka nimejiunga hapa.
Najisikiaga vibaya sana tunatumia fake IDs. Why ? Kwanini wakuu ?
Mwenzangu uliwahi kukutana na mwanaJF yeyote jamani ?
Hahaha unachelewa ww...Kuna hatari ya kutorudi dar;
Yuko na mgahawa wake wa maana
Mitaa ya forest
Bado kwako:
Hahaha nikiwepo mjini unajibanza mafichoniHahaha unachelewa ww...
Si zetu kwa mama ntilie; nao wanajitahidi sana though kuna watu huwa wanawabedhaMate yamentoka
Ukifika call me...don't forget...me napenda watu wanaopenda kula bhanaaaHahaha nikiwepo mjini unajibanza mafichoni